Mto Nile unaanzia Jinja huko Burundi , unnendaje!Angalia Tena ulichoandika.
Mto Nile umepita pia Burundi, Rwanda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Sudan na Sudani ya Kusini, Tanzania, Uganda, na Ethiopia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mto Nile unaanzia Jinja huko Burundi , unnendaje!Angalia Tena ulichoandika.
Mto Nile umepita pia Burundi, Rwanda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Sudan na Sudani ya Kusini, Tanzania, Uganda, na Ethiopia.
Mto Nile unapita katikati ya ziwa Viktoria na siyo kwamba umwaga maji ndani ya ziwa Victoria.Umepitaje Burundi na Rwanda? kisa kuna mito kule inamwaga maji yake ziwa Victoria? weka utafiti wa kisayansi hapa
Niangalie nini mkuu. Mbona nilichoandika kiko straight!!!.Angalia Tena ulichoandika.
Mto Nile umepita pia Burundi, Rwanda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Sudan na Sudani ya Kusini, Tanzania, Uganda, na Ethiopia.
kabisa kabisa mkuu hayo ndio mambo ya maana.Mtera hata sasa maji yamefunguliwa, Bwawa limejaa.
Nafikiri hivyo vijiji vihamishwe pawe na fursa ya kupata Bwawa la Rufuji, itasaisia kuongeza shughuli za kiuchumi.
Unapoteza mada ,Tujadili Bwawa la Mwalimu Nyerere na faida zinazo weza kupatikana zaidi ya umemeNa mtu mwingine atasema mto Nile uko Tanzania, mwingine atasema mto Nile uko Uganda na mwingine atasema mto Nile uko Burundi na Wamisri wanajua mto ule ni wao.
Mlango wa bwawa upo kati ya Mkoa wa Pwani na Morogoro, Lakini mawanda ya bwawa Kwa asilimia kubwa yatakuwa kwenye Jimbo la Liwale.
Kwani serikali ikisema hivyo watapungukiwa nini?
Tujadili nini kuhusu bwawa la Mwalimu Nyerere??Unapoteza mada ,Tujadili Bwawa la Mwalimu Nyerere na faida zinazo weza kupatikana zaidi ya umeme
Kwa ukubwa huo, lisiitwe tena BWAWA, liitwe Ziwa la JNHP!!Mlango wa bwawa upo kati ya Mkoa wa Pwani na Morogoro, Lakini mawanda ya bwawa Kwa asilimia kubwa yatakuwa kwenye Jimbo la Liwale.
Kwani serikali ikisema hivyo watapungukiwa nini?
Haya Sasa, kwa niaba yake bwawa lipo Liwale.Mlango wa bwawa upo kati ya Mkoa wa Pwani na Morogoro, Lakini mawanda ya bwawa Kwa asilimia kubwa yatakuwa kwenye Jimbo la Liwale.
Kwani serikali ikisema hivyo watapungukiwa nini?