Sasa nimpe nani anayejua thamani

Sasa nimpe nani anayejua thamani

Kupata majaliwa nakupasha kabisa.....

Huyo ulomchukua mbona anakunyanyasa,

Mola kanivua dhara kanivua....

Mwengine kaniletea kaniletea,

Mie mja wa stara wa staraah....

Ama hajanielewa, elewa


Nimempata mbora mwenye khadhi na muuuruuua ....


sasa nazidi kung'aa doonge litakuingia!
 
Tuleni tu kila mtu atapewa tu ,kuweni wavumilivu vijana.
1739009336291.jpg
 
Kupata majaliwa nakupasha kabisa.....

Huyo ulomchukua mbona anakunyanyasa,

Mola kanivua dhara kanivua....

Mwengine kaniletea kaniletea,

Mie mja wa stara wa staraah....

Ama hajanielewa, elewa


Nimempata mbora mwenye khadhi na muuuruuua ....


sasa nazidi kung'aa doonge litakuingia!
Hehehe
 
Back
Top Bottom