Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa tandale tan ESCO mtaa ule haukosi shughul na ndipo hrkt zilikuwep mpk nikazoeaHehehe
Kwa hilo hujanikomoa😂😂 najua unashangaa nilijua hii taarabu niki
Wa tandale tan ESCO mtaa ule haukosi shughul na ndipo hrkt zilikuwep mpk nikazoea
Basi toa kwa binadamuSitoi kwa mtu
Usinifanyie hivo 😅Tuleni tu kila mtu atapewa tu ,kuweni wavumilivu vijana.
View attachment 3236739
Mbona hatari 😅Kupata majaliwa nakupasha kabisa.....
Huyo ulomchukua mbona anakunyanyasa,
Mola kanivua dhara kanivua....
Mwengine kaniletea kaniletea,
Mie mja wa stara wa staraah....
Ama hajanielewa, elewa
Nimempata mbora mwenye khadhi na muuuruuua ....
sasa nazidi kung'aa doonge litakuingia!
Akufanyie vipi sasa mwelekezeUsinifanyie hivo 😅
Nipe mimi!mbona hutojuta!!?Sikiliza kibao kizuri cha isha mashauzi.
Na wewe unakubali kwamba mtindi wake unafaa kwa matumizi ya kibinadamuYuko vizuri sana
Hapo sawaKwenye nyimbo tu, mengine sijui
Kwa hio nirudi kwenye foleni siyo?Tuleni tu kila mtu atapewa tu ,kuweni wavumilivu vijana.
View attachment 3236739
Saw mkuu 🙏ukitoka weee nidhamu yangu🤣Tuleni tu kila mtu atapewa tu ,kuweni wavumilivu vijana.
View attachment 3236739