Sasa Papa Francis kutembelea tena Afrika Mashariki lakini si Tanzania

Sasa Papa Francis kutembelea tena Afrika Mashariki lakini si Tanzania

True 100%. Unaposimama na mtu fulani inapaswa mtu huyo asiwe na mawaa mbele ya jamii


Sent using Jamii Forums mobile app

This is a lame argument! A spiritual leader is morally obligated to confront injustice, immorality, etc.

Equally importantly, the Catholic Church has long lost its moral authority to call anyone out on immortality. It’s too unclean to judge others! You probably aren’t in the know.
 
Halifa wa mtume Petro ambaye alisimikwa kuwa kiongozi wa Kanisa na baada ya hapo upo ushahidi wa viongozi kupokezana toka Petro alivyofariki hadi leo huyu! Shortly Yesu aliacha duniani visible church yaani kanisa lenye uongozi rasmi chini ya Petro akiongoza mitume wenzake 11.

Petro ni jina alilopewa na Yesu mwenyewe likiwa na maana ya mwamba/jiwe na ndio maana Yesu baadae anasema "wewe ndio Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu".

Tutaelewana tu ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kupokezana hiyo ni adithi tuu, wala haina ukweli wowote, hata uki-google leo kila kitu kiko wazi, Unachotakiwa kujua binadamu baada ya kujua kusoma na kuandika alitunga uongo mwingi sana kuhusu mambo ya dini.
 
Halifa wa mtume Petro ambaye alisimikwa kuwa kiongozi wa Kanisa na baada ya hapo upo ushahidi wa viongozi kupokezana toka Petro alivyofariki hadi leo huyu! Shortly Yesu aliacha duniani visible church yaani kanisa lenye uongozi rasmi chini ya Petro akiongoza mitume wenzake 11.

Petro ni jina alilopewa na Yesu mwenyewe likiwa na maana ya mwamba/jiwe na ndio maana Yesu baadae anasema "wewe ndio Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu".

Tutaelewana tu ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Petro hakuwa mwamba. Mwamba ni Yesu Kristo mwenyewe. Nadhani shida ipo kwenye tafsiri na punctuation.1 Wakorinto:10.4
wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
who is huyo papa by the way?

Tumwache ashughulike na ushoga wa mapadre wake kwanza

Akija au asipokuja hapunguzi chechote.
 
Wanafiki waliojaa unafiki huku wakija Afrika kwa njia mifuniko ya kidini, na wakitaka waabudiwe as if wao ni Mungu mkuu, hawafai hata kujadiliwa kwa wema.
 
Ni Bora kabisa asije huku. Unajua Angekuja huku angeandamana na makadinali na mapadre kibao. Sote twajua tabia ya mapadre wake. Wakiona vijana wa kiume wa miaka Saba hadi 15 zipu hazitulii.
Hatutaki vijana wetu wageuzwe asusa. Ushahidi tunao yule number 3 katika hierarchy ya kanisa katoliki yuko gerezani. Jiulize namba 33 hadi 444 si ingekua balaa? Wajifunze kufunga zipu zao kabla hawajatia miguu hapa
 
Tunamshukuru Rais na Makonda kwa kuiwezesha TZ kufuzu afcon19
 
huyu papa atakuwa mlokole,.
ametuumbua sana wakatoliki.
amekataza kuabudu pete yake.
amekataza kumwabudu maria.
ameruhusu kunena kwa lugha baada ya mtu kujazwa roho mtakatifu.
amekataza kutoa mimba, maana wakatoliki walikuwa wanaongoza, japo nintafiti zisizo rasmi.

ameibua ufrauni wa mapadri, mapadri wa australia, uingereza, marekani na huko brazili walikuwa wanafira9lawiti0 vitoto vya kiume, wengine wame

https://www.usnews.com/news/best-states/new-mexico/articles/2019-02-08/new-mexico-catholic-

https://www.usnews.com/news/best-states/new-mexico/articles/2019-02-08/new-mexico-catholic-
A 76-year-old former Catholic priest who already has served jail time for molesting boys in Maryland was sentenced Tuesday to 20 years in prison in South Carolina for raping boys from a middle school four decades ago.


kadinali huko australia kakutwa na hatia
George Pell: cardinal found guilty of child sexual assault | Australia ...
https://www.theguardian.com/austral...surer-found-guilty-of-child-sexual-assaultFeb 25, 2019 ... ... senior Catholic in the world, convicted on five charges in Australian ... read: “ Only a madman would attempt torape two boys in the priests' ...



huyu papa katumwa na Mungu, kila kitu anakemea, kanisa linapat uamsho, kwa sasa bado hajapiga marufuku pombe, maana kwetu pombe rukhsa na pia uzinzi, huwa hakuna mkatoliki anaoa bila kutia mimba kwanza.
 
Kupokezana hiyo ni adithi tuu, wala haina ukweli wowote, hata uki-google leo kila kitu kiko wazi, Unachotakiwa kujua binadamu baada ya kujua kusoma na kuandika alitunga uongo mwingi sana kuhusu mambo ya dini.

Basi huo ndiyo ukubwa wenyewe. Kama mtu alitunga uongo na akaandika basi walijua ukweli hawakuuandika walikuwa wajina na wanapaswa kutawaliwa hadi mwisho wa dahari.
 
Leo Vatican imetangaza rasmi kwamba Papa Francis atembelea nchi tatu za Afrika Mashariki.

Ziara hiyo itafanyika Septemba mwaka huu na nchi atakazotembelea ni Mozambique, Madagascar na Mauritius.

Hii ni mara ya pili Papa Francis kutembelea eneo la Afrika Mashariki. Majuzi tu alitembelea Uganda na Kenya. Kumbe Papa Francis analipenda hili eneo la Afrika Mashariki.

Hii maana yake mapapa wanalipenda hili eneo. Mara ya kwanza Papa Paul VI alitembelea Uganda na akazindua Namugongo sehemu ambayo maraisi wa nchi hizo kukimbizana kupata umaarufu wa kupatembelea pale.

Mara nyingine Papa John Paul akatembelea Kenya. Tanzania ikatembelewa na Papa John Paul mwaka 1990 tu, tena wakati huo kArdinali Rugambwa anajiandaa kuondoka madarakani na ingeonekana Kardinali wa kwanza mwafrika anodoka madarakani bila Papa kukanyaga nchini mwake.

Hivyo, Uganda na Kenya zimetembelewa na Papa mara mbili. Tanzania ndiyo hiyo mara moja tu.

TAARIFA na JADILI:

SOURCE: Vatican:
Pope Visist to East Africa
Wacha niunganishe huu uzi na ule uzi wa Utumwa katika picha, ni utumwa tu
 
Back
Top Bottom