Sasa Papa Francis kutembelea tena Afrika Mashariki lakini si Tanzania

Sasa Papa Francis kutembelea tena Afrika Mashariki lakini si Tanzania

Viongozi wa dini wakubwa kama Papa inakuwa ngumu kuja nchini mwetu, inabidi tujichunguze ni wapi tunakosea. Namtakia kila la kheri katika ziara zake.

T[emoji769]
 
Basi huo ndiyo ukubwa wenyewe. Kama mtu alitunga uongo na akaandika basi walijua ukweli hawakuuandika walikuwa wajina na wanapaswa kutawaliwa hadi mwisho wa dahari.
Jiulize wakati wa yesu kulikuwepo na camera? je ni nani aliweza kukumbuka mtu aliyefariki miaka mia 3 au 5 iliyopita, leo wewe au mtu mwingine nikwambia ufuatilie uzao wenu miaka mia 5 iliyopita sijui kama utawapata, hivyo ilikuwa ni kupamba vitabu vya watunzi na walikuwa wana kadria tuu.lkn haina ukweli wowote, hata hii miaka tunayohesabu ni makadrio tuu, kwan mwaka 01 kuna mtu alikuwa anajua kusoma na kuandika ? binadamu alipogundua kusoma na kuandika na vifaa vya kisayansi kugundulika ndipo makadrio yalipoanza.Madrio yalianza baada ya kukusanya ushahidi mbalimbali na mwisho wakakubaliana waanzie maala flani.
 
Kama umefatilia vizuri papa huyu anatemebelea nchi zenye shida shida haza zisizo na amani
 
Jiulize wakati wa yesu kulikuwepo na camera? je ni nani aliweza kukumbuka mtu aliyefariki miaka mia 3 au 5 iliyopita, leo wewe au mtu mwingine nikwambia ufuatilie uzao wenu miaka mia 5 iliyopita sijui kama utawapata, hivyo ilikuwa ni kupamba vitabu vya watunzi na walikuwa wana kadria tuu.lkn haina ukweli wowote, hata hii miaka tunayohesabu ni makadrio tuu, kwan mwaka 01 kuna mtu alikuwa anajua kusoma na kuandika ? binadamu alipogundua kusoma na kuandika na vifaa vya kisayansi kugundulika ndipo makadrio yalipoanza.Madrio yalianza baada ya kukusanya ushahidi mbalimbali na mwisho wakakubaliana waanzie maala flani.

JF ni mtandao mzuri. Taabu yake ndiyo hii yaani unaweza kujikuta unajibizana na mtoto wako ambaye umemfukuza akalale kumbe anaingia JF na huko anajibu kama hivi, bila kujua anamjibu baba na baba bila kujua anajibiwa na mtoto.
 
akija atajenga uwanja wapi kama noo basi asije, tunataka vitendo sio maneno ndio maana ya kazi
 
Jiulize wakati wa yesu kulikuwepo na camera? je ni nani aliweza kukumbuka mtu aliyefariki miaka mia 3 au 5 iliyopita, leo wewe au mtu mwingine nikwambia ufuatilie uzao wenu miaka mia 5 iliyopita sijui kama utawapata, hivyo ilikuwa ni kupamba vitabu vya watunzi na walikuwa wana kadria tuu.lkn haina ukweli wowote, hata hii miaka tunayohesabu ni makadrio tuu, kwan mwaka 01 kuna mtu alikuwa anajua kusoma na kuandika ? binadamu alipogundua kusoma na kuandika na vifaa vya kisayansi kugundulika ndipo makadrio yalipoanza.Madrio yalianza baada ya kukusanya ushahidi mbalimbali na mwisho wakakubaliana waanzie maala flani.
Unajua ni lini na wapi binadamu walianza kusoma fuatilia historia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Vatican imetangaza rasmi kwamba Papa Francis atembelea nchi tatu za Afrika Mashariki.

Ziara hiyo itafanyika Septemba mwaka huu na nchi atakazotembelea ni Mozambique, Madagascar na Mauritius.

Hii ni mara ya pili Papa Francis kutembelea eneo la Afrika Mashariki. Majuzi tu alitembelea Uganda na Kenya. Kumbe Papa Francis analipenda hili eneo la Afrika Mashariki.

Hii maana yake mapapa wanalipenda hili eneo. Mara ya kwanza Papa Paul VI alitembelea Uganda na akazindua Namugongo sehemu ambayo maraisi wa nchi hizo kukimbizana kupata umaarufu wa kupatembelea pale.

Mara nyingine Papa John Paul akatembelea Kenya. Tanzania ikatembelewa na Papa John Paul mwaka 1990 tu, tena wakati huo kArdinali Rugambwa anajiandaa kuondoka madarakani na ingeonekana Kardinali wa kwanza mwafrika anodoka madarakani bila Papa kukanyaga nchini mwake.

Hivyo, Uganda na Kenya zimetembelewa na Papa mara mbili. Tanzania ndiyo hiyo mara moja tu.

TAARIFA na JADILI:

SOURCE: Vatican:
Pope Visist to East Africa
Naona umeandika huu uzi huku umekalia steki ndefu yenye uterezi.
 
Halifa wa mtume Petro ambaye alisimikwa kuwa kiongozi wa Kanisa na baada ya hapo upo ushahidi wa viongozi kupokezana toka Petro alivyofariki hadi leo huyu! Shortly Yesu aliacha duniani visible church yaani kanisa lenye uongozi rasmi chini ya Petro akiongoza mitume wenzake 11.

Petro ni jina alilopewa na Yesu mwenyewe likiwa na maana ya mwamba/jiwe na ndio maana Yesu baadae anasema "wewe ndio Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu".

Tutaelewana tu ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakatoliki ndio wana uwepo wa papa ila wengine hakuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom