theory, theory, theory, theory.
hizi mambo zinataka magwiji waliobobea na wenye maarifa ya kutosha sio hawa vijana waliotoka shule na kuanza kujifunzia kazi kwenye maisha ya watu.
Tumewekeza sana kwenye siasa, ni ngumu mtu kuamini kazi fulani mmemshinda bali atatumia nguvu kubwa kuonyesha anakwenda vizuri kulinda umaarufu wake kwenye siasa huku akiangamiza maisha ya watu.
Kuna watu nyadhifa fulani zimewashinda ukubwa, yadhifa hizi tunazichulilia kirahisirahisi na kuzifanya kisiasa lakini zonahitaji magwiji waliofanya kazi huku na kule ndani na nje ya nchi kwenye mataasisi na makampuni makubwa ikiwemo kuwepo kwenye ngazi kubwa za maamuzi.
Hawa watoto tunaotaka kuwaamini, ni wapi tumefanya juhudi kuwakuza vyema kwenye utendaji? au tunawapa mavyeo makubwa kulinda maslahi yetu? na kuendeleza tawala za undugu bila kujali maslahi ya taifa.
Tuwe serious na maslahi ya Taifa na watu wake.