Sasa Rasmi: CAF yathibitisha Tanzania kupeleka timu 4 mashindano ya vilabu barani Africa 2019/2020

Mkuu usilete ubishi kwenye vitu usivyovijua....point 12 ndo nini???....Tanzania imeshika nafasi ya 12 na point ni 18
Sawa nashukuru kuliweka sawa. Katika hizo point 18 au whatever the number, Yanga ina mchango wake. Ni mwehu tu atakataa ukweli huo. Kwamba Mikia imechangia pakubwa halina ubishi.
Elfu kumi haiwi elfu kumi ukitoa senti moja tu.
 
Elimu
Elimu
Elimu
UJINGA

UJINGA

UJINGA

Viti maalumu Fc hata ingeshiriki Champions league mara kumi mtawalia Tanzania haingekuja kutokea kupeleka Timu nne.

Mchango wa Simba sports ni mkubwa sana.
Sasa msimu ujao si tunashiriki wote we shall see nani ni bora kuliko mwenzake Knock out stages zinaanza mwanzoni mwa mwezi August.
This is simba 💪
 
Sawa nashukuru kuliweka sawa. Katika hizo point 18 au whatever the number, Yanga ina mchango wake. Ni mwehu tu atakataa ukweli huo. Kwamba Mikia imechangia pakubwa halina ubishi.
Elfu kumi haiwi elfu kumi ukitoa senti moja tu.
Imechangia point 3 but hazina maana...ingekuwa simba kachangia point let say 12 na yanga kachangia point 3 ambayo jumla zake zingefanya Tanzania iwe na point 15 tungesema hizo point 3 za yanga zinamaana...hata ingetokea simba kachangia point 14.5 na yanga akachangia point 0.5 tungesema point 0.5 za yanga zina umuhimu sababu ndo zimeiongezea nchi hadi kufikisha point 15 so zimetuwezesha kumshinda anayetufuatia ivory cost ambae naye anapoint 15....hizo point 3 za yanga hazina umuhimu wowote sababu hata ukizitoa haziathiri chochote bado nchi itakuwa nafasi ya 12 na itakuwa na sifa ya kuingiza timu 4....simba usiseme imechangia pakubwa sema point iliyozikusanya simba peke yake tu zilikuwa zinatosha kuipandisha nchi mpaka nafasi ya 12...unaposema imechangia pakubwa unamaanisha bila mchango wa yanga tusingekuwa na nafasi ya kuingiza timu 4 kitu ambacho si kweli....mchango wa yanga uwepo or usiwepo point tu alizobeba simba zilikuwa zinatuwezesha kuingiza timu nne
 
Hivi hizo kwa mujibu wa kanuni wanazosema ni kanuni za wapi?, zilitungwa lini?
 
Are you sure?
 
Kigezo gani kimetumika kumpa KMC hiyo nafasi Wakati hajacheza fainali yoyote?
Wewe frog wa jangwani Arabi Nanjewa bila Simba mngepata hii nafasi?
Respect Simba kuanzia leo Sithole
Viti maalumu fc
Hivi umesoma hiyo barua ya TFF kweli? Au ulianza kuja uzi kabla ya barua?!
 
Mbona hili lilikuwawazi siku nyingi, ndio maana Yanga walipomaliza tu ligi wakaanza kuhaha kutafuta saini za wachezaji wapya...

Kuna wakati Manara alishawahi libainisha...
 
Are you sure?
Mkuu usiniulize tu kama am sure na ninachokiandika ila nafahamu na nakijua ninachokiandika....watu wengi hawajui hii system ya 5year ranking system inavyofanya kazi so inatakiwa wafundishwe

Point za yanga hapo(0.5×2+0.5×4)=3
Point za simba hapo(3×5)=15
Na ukiangalia hapo anayetufuatia ni ivory cost mwenye point 15 so point za simba tu peke yake ni sawasawa na ivory cost so hata tungegongana sisi ndo tungeingiza timu nne sababu sisi ndo tumechukua point nyingi ambazo ni latest kuliko wao
 
Big up. Huko ndiyo kuongea kwa takwimu.
 
hao waliokuwa wanasema Simba inabebwa gomeeni hiyo nafasi maana mtakuwa mnasapoti ubebwaji wa Simba
 
Huo ni msimu wa 2020/2021
Kwa mujibu wa Wikipedia page ya CAF CHAMPIONS LEAGUA 2019/2020 SIMBA NDIYE ATAENDA PEKEE
Halafu Ina maana Azam angekuwa wa 6 Champions league angeenda wa Kwanza na wa pili. Watatu angeenda shirikisho.
Azam Cup angeenda bingwa tu?


Ligi kuu nafasi tatu

Azam nafasi tatu
 
Kote upo sahihi lakini hakuna suala la eti huyu ni latest na yule ni oldest! Inapotokea nchi zimefungana point, nchi husika zinagawana uwakilishi! Kwavile tie up ingekuwa ni nchi mbili, basi Ivory Coast wangekuwa na nafasi mbili na Tanzania wangekuwa na nafasi mbili! Na kwavile Tanzania nafasi mbili zilishawepo (Simba na Azam), Yanga wasingekuwa na chao!! Hii ni 5 years ranking na hakuna mwaka unaotafsiriwa kuwa ndio bora kuliko mwingine.
 
Hivi umesoma hiyo barua ya TFF kweli? Au ulianza kuja uzi kabla ya barua?!
Uzi ulikuja bila barua.
Na hata baad ya barua kuja hichi kitu hakiingii akilini sheria za kipumbavu pumbavu tu Wakati Viti maalumu fc wakichukua kombe la VPL na FA aliyeshika nafasi ya pili ndiye alishiri FA huu sijui sheria ilibadilishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…