Sasa rasmi: Ni Yanga SC vs Liverpool au Real Madrid

Sasa rasmi: Ni Yanga SC vs Liverpool au Real Madrid

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Afrika nzima tayari inafahamu bado dunia tu kujua, team yenye mafanikio kuliko zote afrika mashariki na kati na inayoongoza kwa ubora katika ukanda huo huku ikiwa team inayoogopwa zaidi kutoka Tanzania yaani yanga sc ina jambo lake msimu huu.

Mabingwa wa kihistoria kama ilivyotangaza rasmi kupitia msemaji wake msomi mwenye degree ya media toka chuo kisichojulikana huko south africa na degree ya political science kutoka chuo kisichojulikana huko china aitwaye Hajj Manara ya kwamba msimu ujao wa Caf interclub competition itaanzia round ya kwanza siyo awali kwa sababu itabeba ubingwa wa ligi

Pia klabu hiyo kupitia kwa msemaji huyo msomi na mwenye uweledi mkubwa iliahidi kuchukua ubingwa wa Africa hiyo inamaanisha kwamba kwenye michuano ya klabu bingwa ya dunia yanga sc itawakilisha bara la Africa na imekuwa kama tamaduni kwa klabu za ulaya kufika fainali na kuchukua kikombe hicho

Bara zima la Afrika ambalo kwa sasa ni kama limeshakubali kwamba Yanga ndiyo mabingwa watarajiwa wa African champions league linasubiri kwa hamu kujua kama Yanga katika fainali ya klabu. bingwa dunia atakutana na liverpool au Real madrid

Kila la heri Chama kubwa la Yanga sc kuuuleta ubingwa wa dunia wa klabu kwa mara ya kwanza barani Afrika maana kuhusu ubingwa wa CAF teams zote zishakubali matokeo..kwa mziki huu wa mayele, mwamnyetooo. Job, kibwana shomari..chiko ushindi????? weeeee weeeeee weeeeeeeeee
 
Hizi bangi za chooni sio nzuri, ndio zinazalisha panya road.
 
Hapo kwanza nicheke hivi nyie uto mna akili timamu kweli. Kwa hiyo yule manara ndiyo kawa ambia nyie ndiyo timu kubwa African mashariki na kati,kweli yule mgonjwa kawashika akili.
 
Hapo kwanza nicheke hivi nyie uto mna akili timamu kweli. Kwa hiyo yule manara ndiyo kawa ambia nyie ndiyo timu kubwa African mashariki na kati,kweli yule mgonjwa kawashika akili.
Ndiyo team kubwa kwa moto huu wa mayele hakuna team yoyote Africa kwa sasa inayotamani kukutana na wananchi
 
Ndiyo team kubwa kwa moto huu wa mayele hakuna team yoyote Africa kwa sasa inayotamani kukutana na wananchi
Real madrid wenyewe hawataki kabisa kukutana na mayele. Sembuse vitimu vya hapa Afrika? Na tumekubaliana , Yanga mwaka huu ataanzia hatua ya makundi . Huku kwingine ni ku mpotezea mayele muda.
 
Afrika nzima tayari inafahamu bado dunia tu kujua, team yenye mafanikio kuliko zote afrika mashariki na kati na inayoongoza kwa ubora katika ukanda huo huku ikiwa team inayoogopwa zaidi kutoka Tanzania yaani yanga sc ina jambo lake msimu huu.

Mabingwa wa kihistoria kama ilivyotangaza rasmi kupitia msemaji wake msomi mwenye degree ya media toka chuo kisichojulikana huko south africa na degree ya political science kutoka chuo kisichojulikana huko china aitwaye Hajj Manara ya kwamba msimu ujao wa Caf interclub competition itaanzia round ya kwanza siyo awali kwa sababu itabeba ubingwa wa ligi

Pia klabu hiyo kupitia kwa msemaji huyo msomi na mwenye uweledi mkubwa iliahidi kuchukua ubingwa wa Africa hiyo inamaanisha kwamba kwenye michuano ya klabu bingwa ya dunia yanga sc itawakilisha bara la Africa na imekuwa kama tamaduni kwa klabu za ulaya kufika fainali na kuchukua kikombe hicho

Bara zima la Afrika ambalo kwa sasa ni kama limeshakubali kwamba Yanga ndiyo mabingwa watarajiwa wa African champions league linasubiri kwa hamu kujua kama Yanga katika fainali ya klabu. bingwa dunia atakutana na liverpool au Real madrid

Kila la heri Chama kubwa la Yanga sc kuuuleta ubingwa wa dunia wa klabu kwa mara ya kwanza barani Afrika maana kuhusu ubingwa wa CAF teams zote zishakubali matokeo..kwa mziki huu wa mayele, mwamnyetooo. Job, kibwana shomari..chiko ushindi????? weeeee weeeeee weeeeeeeeee
Unajisikiaje kuona mpaka wana simba wenzako wanakuona wewe ni kituko! Kwani lazima ufungue uzi hata kama huna cha kuandika?
 
Unajisikiaje kuona mpaka wana simba wenzako wanakuona wewe ni kituko! Kwani lazima ufungue uzi hata kama huna cha kuandika?
Wewe na wenye akili yako ni wapumbavu kabisa..dunderheads wa mwisho mnooo...SIYO KWELI KWAMBA YANGA SC KUPITIA KWA MSEMAJI WAKE MSOMI MWENYE UWELEDI HAJJ MANARA ILITANGAZA KWAMBA ITAANZIA ROUND YA AWALI KLABU BINGWA SABABU ITABEBA UBINGWA NA INA WASIWASI TFF WANAWEZA WASITUME JINA LAO CAF KWAMBA WAO NI MACHAMPIONS?

SIYO KWELI YANGA SC KUPITIA MSEMAJI HUYO IMEAHIDI KUCHUKUA UBINGWA WA FRIKA MWAKA HUU?

Ni nini kitatokea sasa baada ya kuchukua ubingwa si kwenda klabu bingwa ya dunia? huko si atakutana na either liverpool au real madrid fainali?

wajinga kabisa nyie...team itoe statements kupitia kwa msemaji msomi nikiwakilisha kama ilivyo unizodoe..jinga weee
 
Back
Top Bottom