Sasa rasmi: Ni Yanga SC vs Liverpool au Real Madrid

Sasa rasmi: Ni Yanga SC vs Liverpool au Real Madrid

Mtoa mada ahurumiwe tu[emoji26]
IMG_20220305_171404.jpg
 
Mazuzu hayajui bingwa wa afrika anawakilisha bara hili kwenye michuano ya vilabu ya dunia...ujinga ni dhahama kubwa ambayo mungu kajalia watanganyika kibaooo
 
Real madrid wenyewe hawataki kabisa kukutana na mayele. Sembuse vitimu vya hapa Afrika? Na tumekubaliana , Yanga mwaka huu ataanzia hatua ya makundi . Huku kwingine ni ku mpotezea mayele muda.
Aiseee....

Yanga daima mbele.....
 
kuna vilaza hapa hawajui Tp mazembe alibaki kidogo kuchukua hilo kombe la dunia akafungwa na inter milan fainali...sasa Yanga sc baada ya kutangaza nia ya kuchukua ubingwa wa afrika kupitia kwa semaji lake nguli lenye weledi mkubwa kwa nini wasifike fainali?
Iwe madrid iwe liverpool kwa mayele lazima wazime fegi na team haianzi round ya awali iwe mvua iwe jua habari ndo hiyo


mazembe.PNG
 
Back
Top Bottom