Vifaranga200
Senior Member
- Oct 28, 2022
- 163
- 177
Naandika leo nimechukizwa sana na huduma ofisi za Serikali
Haina mana wote wanatabia ya uvivu. Huu ni ushuhuda wangu mimi.
Siku zote Kuna watu wanadhani wao Kwa kuwa hawahusiki na hawaendi hata hapo temeke hospital wakaona weakness za watumishi, tanesco, maji wakaona upumbav wa baadhi wa watumishi wanajiongelea hovyo hovyo tu.
Nhif na kwingineko, kwamba Kuna uozo mkubwa
Haina mana wote wanatabia ya uvivu. Huu ni ushuhuda wangu mimi.
Siku zote Kuna watu wanadhani wao Kwa kuwa hawahusiki na hawaendi hata hapo temeke hospital wakaona weakness za watumishi, tanesco, maji wakaona upumbav wa baadhi wa watumishi wanajiongelea hovyo hovyo tu.
Nhif na kwingineko, kwamba Kuna uozo mkubwa