Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
America ni ndumilakuwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu kanuna hapa.Naam tungependa kusoma mambo haya kwenye magazeti yetu na pia kusikia chambuzi za namna hii katika radio na tv.Hongera sana ndugu
Hapa tunazungumzia Jinsi urusi anavyotembezewa mkong'oto na Ukraine mzee,mambo ya houth nafikiri uanzishe thread nyingine!Maji ya shingo ni kuzidiwa hadi kujipendekeza kwa nyang'au hali mbaya Houthi tu kawanyoosha njia za meli zinakimbiwaView attachment 3020309
Usjar mzee ardhi yote itarudi kama ivyokuwaKipondo huku kamegwa,,,irudisheni hio ukraine
Usjar mzee ardhi yote itarudi kama ivyokuwaAnahenya huku keshamega nchi,,,,rudisheni Ukraine kama ilivyokua wakina supapawa mabula
Akikuambia acha vta usposikia atafanya kama ile ya heroshima na ajasaki Dunia kwanzia hiumbwe ujawai suhudia bomu kama lile alaf jamaa akasema icho ni kichagaa cha atomic bomb sasa waguse pale White House alaf tu ussr walikuwa pia wao wana super power ilikuwa WASO lakn walipoteana unajua kwann WASO ilkufa lakn mpaka sasa NATO ipo au unatuleta story ambayo uji kwann marekan Ana power military base?Kapigana na taifa gani la maana toka awe superpower zaidi ya kuwaonea kobazi
Waulize wafaransa kuhusu Napoleon na wapi aliingia cha kike......kwa historia mbona hata Mongolia ilikua superpower enzi zake sahivi mcheki yupo wapi.....hii dunia haijaanza 1945 maana nyie walevi wa Nato ndo dunia yenu imeanzia hapo kabla ya hapo ni weupeAkikuambia acha vta usposikia atafanya kama ile ya heroshima na ajasaki Dunia kwanzia hiumbwe ujawai suhudia bomu kama lile alaf jamaa akasema icho ni kichagaa cha atomic bomb sasa waguse pale White House alaf tu ussr walikuwa pia wao wana super power ilikuwa WASO lakn walipoteana unajua kwann WASO ilkufa lakn mpaka sasa NATO ipo au unatuleta story ambayo uji kwann marekan Ana power military base?
Ita.....ila warusi kawamega na anaendelea kuwega nyie endeleeni na hio itaUsjar mzee ardhi yote itarudi kama ivyokuwa
Kyiv 😇
Khakivu 😇
Kheson 😇
Mykolaiv 😇
Kupyansk😇
Snake island 😇
Lyman 😇
Black sea route 😇
Odessa 😇
Izium 😇..,niendelee au🤣
Mkong'oto nani kammega mwenzie???hio ni vita sio kidali poo casualties lazima ziwepo ila kikubwa nani kamegwa?? Na anaendelea kumegwaHapa tunazungumzia Jinsi urusi anavyotembezewa mkong'oto na Ukraine mzee,mambo ya houth nafikiri uanzishe thread nyingine!
Ingawa siyo kijana wa 2000 lakini Nina maoni huru.Hivi ninyi vijana wa 2000 mnaosema Russia anapambana na NATO mna akili sawasawa kweli?
Nguvu za kijeshi za NATO kuna taifa linaweza kusimama dhidi yake? Hivyo vimisaada wanavyopewa Ukraine ni kama 20% ya uwezo wa NATO.
Wadogo zangu, embu wekezi akili zenu zaidi ktk kuongeza uchumi wenu kuliko kumkweza Putin kila wakati kwa kuanzisha thread za ajabu ajabu huku JF.
Uko kwingne n vta vya kiukoo na ubabe wakupanua mipaka lakn vta vya wanaume ilianza miaka ya 1914-18 na end 1939-45 tu ndyo inatambulika izo sjui kna mogolia just story kama za chfe mkwawa na knakinjekitile gwareWaulize wafaransa kuhusu Napoleon na wapi aliingia cha kike......kwa historia mbona hata Mongolia ilikua superpower enzi zake sahivi mcheki yupo wapi.....hii dunia haijaanza 1945 maana nyie walevi wa Nato ndo dunia yenu imeanzia hapo kabla ya hapo ni weupe
Ni kweli kwa sasa hakuna namna Rusia anaweza kuiangusha USA kwa njia ya vita wala uchumi. Baada ya muda uchumi wa Russia utadolola, vizazi vijavyo ndoa vitaumia.Ku
Kubali kataa marekani ndiye kilanja wa Dunia kwa Sasa mpaka pale " nature" itakapoamua vinginevyo,ukijaribu kushindana nae utahenya kama urusi anavyohenya sasa
Hujui hata sasa Russia ndio nchi ya 4 kwa Ukubwa wa uchumi duniani.Ni kweli kwa sasa hakuna namna Rusia anaweza kuiangusha USA kwa njia ya vita wala uchumi. Baada ya muda uchumi wa Russia utadolola, vizazi vijavyo ndoa vitaumia.
Ndo maana nasema dunia yenu imeanzia 1945 na inaishia miaka hii ya 2000Uko kwingne n vta vya kiukoo na ubabe wakupanua mipaka lakn vta vya wanaume ilianza miaka ya 1914-18 na end 1939-45 tu ndyo inatambulika izo sjui kna mogolia just story kama za chfe mkwawa na knakinjekitile gware
Wewe akili Yako yote inawaza msalani na kujifuta huko nyuma na toilet paper TU, kwa hiyo Kila Ukiona karatasi yoyote au gazeti unaweza toilet paper na msalani TU.Baada ya kusoma tu hili gazeti uchwara nikaona sehemu pekee kulipeleka ni msalani
Hivi ninyi vijana wa 2000 mnaosema Russia anapambana na NATO mna akili sawasawa kweli?
Nguvu za kijeshi za NATO kuna taifa linaweza kusimama dhidi yake? Hivyo vimisaada wanavyopewa Ukraine ni kama 20% ya uwezo wa NATO.
Wadogo zangu, embu wekezi akili zenu zaidi ktk kuongeza uchumi wenu kuliko kumkweza Putin kila wakati kwa kuanzisha thread za ajabu ajabu huku JF.
Hivi ninyi vijana wa 2000 mnaosema Russia anapambana na NATO mna akili sawasawa kweli?
Nguvu za kijeshi za NATO kuna taifa linaweza kusimama dhidi yake? Hivyo vimisaada wanavyopewa Ukraine ni kama 20% ya uwezo wa NATO.
Wadogo zangu, embu wekezi akili zenu zaidi ktk kuongeza uchumi wenu kuliko kumkweza Putin kila wakati kwa kuanzisha thread za ajabu ajabu huku JF.
Endelea kujidanganyaNi Miaka zaidi ya ishilini puttin hajawai kuitembelea north Korea,Leo hii baada ya kuona maji ya shingo anaanza kuwakumbuka washikaji aliowasahau,hizi ni dalili tosha kwamba urusi anapokea kipondo baraabara