Wewe Kingereza chenyewe cha manati. Uwekeze nini wewe wenye kuwekeza wanasema? Unanshangaza!
Nilichokukera ni kipi haswa nikielewe, maana naona unazidi kupayuka tu.
Calculated risk create returnNo Risks No Returns.
Indeed, this one is well calculated.Calculated risk create return
And Not just EVERY RISK CREATES RETURN
Wewe Kingereza chenyewe cha manati. Uwekeze nini wewe wenye kuwekeza wanasema? Unanshangaza!
Nilichokukera ni kipi haswa nikielewe, maana naona unazidi kupayuka tu.
KULA 10000likesTunaomba haya mambo ya kujibu threads hizi za kazi tuwachie sisi, mimi na muanzisha mada.
Ahsante.
Mind smelter....Mzee Abdul+FaizaFox+Bi Zainab Tamim-One face in three dimensional
High risk of losing ,higher return but
DONT INVEST MONEY ,U NEVER AFFORD TO LOSE
Mkuu nimependa sana hoja zako. Kwanza naomba kuweka maslahi yangu binafsi kwenye hii miradi, mimi ni muwekezaji na mnufaikaji wa mradi wa machimbo ya mchanga unaoendelea huko Misugusugu Kibaha. Kwakweli huyu Mzee Abdul na Mke wake ni wastaarabu na waungwana mno. Nimefika Kibaha licha ya kutuma pesa hata kabla ya kuonana nao.
Alichosema ni kweli kulikua na uchelewaji kutokana na mvua lakini alitoa habari na maendeleo kila mara kutujulisha tatizo liko wapi. Kama lugha za FaizaFoxy hazijakufurahisha kwa namna moja ama nyingine, naomba umuwie radhi kama binadam lakini usiwaelekezee tuhuma hawa wazee.
Mzee Abdul ni kweli kazi mnayofanya ni nzuri sana. Ningependa kuungana na Shark pamoja na Titicomb kujua hali ya biashara (soko la mchanga) likoje? Kuna miradi mikubwa ya ujenzi inaendelea kipindi hichi? Nauliza hivyo kwa sababu lengo sio mimi tu kama muwekezaji kufaidika, ni vizuri na nyie mnaoendesha na kusimamia miradi mfaidike. Kama shughuli za ujenzi zinadorora inamaana kutakua na shida kidogo.
Vinginevyo niwatakie kila la kheri na baraka kwenye shughuli zenu.
N.B vilevile mimi ni miongoni mwa wanachama wa Vitendo Saccoss inayoratibiwa na Mzee Abdul.
Asante sana kwa maswali mazuri sana.
Miradi mikubwa ambayo inahitaji mchanga kwa wingi sana ipo. Wiki iliyopita pekee nimetembelewa na contractors watatu tafauti.
Mmoja wa mwakilishi wa Waturuki wa reli. Wawili Wachina wanajenga viwanda vipya si mbali na hapa kwetu.
Licha ya hao kuna mradi mkubwa sana wa land reclamation umeanza Zanzibar nao wanahitaji mchanga kwa wingi sana.
Demand ya mchanga ipo juu sana huku kwetu kwa kuwa machimbo yote ya karibu na mjini yamezuiwa.
Tuko pamoja.Hamna tatizo Mr Abdul, I am glad i made you laugh. may be i can find another career being comedian.
I think what you have here is wonderful thing, it should be supported, it is through people like you and your your wife we can help our people. But when you want to grow and become big you need to put serious people testimonies. Don't just put FaizaFoxy she not known as full shilling in JF. Her testimony hurts you cause rather than advancing it.
Where are other investors testimonies? Is she the only one you could find taking into account of all other people who already have invest in your previous project?
Mkuu nimependa sana hoja zako. Kwanza naomba kuweka maslahi yangu binafsi kwenye hii miradi, mimi ni muwekezaji na mnufaikaji wa mradi wa machimbo ya mchanga unaoendelea huko Misugusugu Kibaha. Kwakweli huyu Mzee Abdul na Mke wake ni wastaarabu na waungwana mno. Nimefika Kibaha licha ya kutuma pesa hata kabla ya kuonana nao.
Alichosema ni kweli kulikua na uchelewaji kutokana na mvua lakini alitoa habari na maendeleo kila mara kutujulisha tatizo liko wapi. Kama lugha za FaizaFoxy hazijakufurahisha kwa namna moja ama nyingine, naomba umuwie radhi kama binadam lakini usiwaelekezee tuhuma hawa wazee.
Mzee Abdul ni kweli kazi mnayofanya ni nzuri sana. Ningependa kuungana na Shark pamoja na Titicomb kujua hali ya biashara (soko la mchanga) likoje? Kuna miradi mikubwa ya ujenzi inaendelea kipindi hichi? Nauliza hivyo kwa sababu lengo sio mimi tu kama muwekezaji kufaidika, ni vizuri na nyie mnaoendesha na kusimamia miradi mfaidike. Kama shughuli za ujenzi zinadorora inamaana kutakua na shida kidogo.
Vinginevyo niwatakie kila la kheri na baraka kwenye shughuli zenu.
N.B vilevile mimi ni miongoni mwa wanachama wa Vitendo Saccoss inayoratibiwa na Mzee Abdul.
Ok Bro, wishing you, all investors and Vitendo Saccoss well and a lot of success in this project and future projects.
AhsanteTunaomba haya mambo ya kujibu threads hizi za kazi tuwachie sisi, mimi na muanzisha mada.
Ahsante.
Kwani Mada si umeanzisha wewe tena jamani??Tunaomba haya mambo ya kujibu threads hizi za kazi tuwachie sisi, mimi na muanzisha mada.
Ahsante.
Hio nilijibu mimi. Nikidhani natumia id yangu.Kwani Mada si umeanzisha wewe tena jamani??
Au sijaelewa??
Nashukuru sana kwa hilo. Natumai excavator ikiwa tayari na kwa uwezo wa Mungu tuta triple payments.Shukrani sana kaka. Kwa sasa nanufaika na mmojawapo ya miradi ya hawa Wazee.
Ni mfumo na mawazo mazuri yanayoweza kusaidia makundi mbalimbali kujikwamua kiuchumi.
Ofisi zenu zipo wapi? Pili, Mmesajiriwa kwa kazi hiyo? JE mradi unahusika na NINI? Nikitoa hiyo laki tano Mimi nanufaikaje? KUSHIRIKI Wangu ni NINI au nafasi Yangu ni IPI? Ni shughuli gani inayofanyika?Habari za saa hizi ndugu zangu, mimi naitwa Abdul Ghafur. Maarufu kama Babu Abdul au Mzee Abdul.
Huwa napitia hizi nyuzi na mara zingine kujibu kupitia anuani ya mke wangu Bi Zainab Tamim.
Nimefahamishwa kuwa kuingia humu na kutumia ID ya mtu mwingine ni makosa (ingawa ni mke wangu), nimeona ni heri nijiunge rasmi na kuja kujaribu kuondosha utata unaojitokeza.
Hii miradi yote anayoitangaza Bi Zainab Tamim humu, mimi ndie msimamizi mkuu na ndie mwenye kuifahamu vilivyo.
Naomba mwenye swali lolote aulize na nitajaribu kutoa majibu sahihi kadiri ya uwezo wangu kwa faida ya wengi.
Asanteni sana.
Ofisi zenu zipo wapi? Pili, Mmesajiriwa kwa kazi hiyo? JE mradi unahusika na NINI? Nikitoa hiyo laki tano Mimi nanufaikaje? KUSHIRIKI Wangu ni NINI au nafasi Yangu ni IPI? Ni shughuli gani inayofanyika?