Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
๐SIMU KWA SIR GOD
๐Sir God..si ni wewe ndo unasema umeumba ulimwengu KWA siku 7
๐ Sir God..si ni wewe ulieumba makabila mengi duniani lakini ukachagua ISLAEL kua kabila lako pendwa na ukalitumia kuwapa ujumbe wako
๐ Sir God..si ni wewe ukiachana na waislael na ukaamia KWA waarabu na kumtumia muhamadi kumpa jumbe zako
๐ Sir God.. mimi staki kuongelea makabila mengne ntakua mnafki wacha nizungumzie makabila yangu ya africa
๐ Sir God..kwani sisi tulikukosea nini?
๐ Sir God..kwani ulikosa watu wastaarabu katika makabila yetu mpaka ukatuletea Hawa madhalimu?
๐ Sir God..ulikua wapi wakati Babu/bibi zetu wanafanya utumwa,kuhasiwa,kubakwa, na ukatili mwingine
๐Sir God..kwanini uli haralisha utumwa kwenye vitabu vyako au ndo furaha yako kuona watu wakitesa watu wengine
๐Sir God..inakuaje unaangalia tu waislamu na wakristo wakiuwana na wakati zote dini zako
๐Sir God..mbona miujiza/nguvu zako zimeishia kwenye vitabu tu yani ni historia tu hatuoni ukiendelea kufanya miujiza yani tunaishi KWA imani Sasa na sio maono
๐ Sir God..wewe ni baba gani ambae hukutaka kuangalia Hali za watoto wako tuliishi mabilion ya miaka bila kuskia chochote kutoka kwako ni juzijuzi tu wakoloni walipo kuja ndipo tumeanza kuambia ka kuna baba yetu. Au kuna sehemu tulikosea ukaamua kutususa
๐ Sir God... Upendo wako hupo wapi? Mbona unafanana na wakina ashura na kajala wa huku kwetu
๐Sir God..wale walio watuma kuleta dini ndo haohao walio tuonesha dalili za kiama ufuska,ushoga,ugaidi,mauwaji ni wao ndo walio yaleta kwetu
๐ Sir God..tumeshtuka kua Hawa ulio waleta walete dini sio wema wanamtangaza shetani na Sasa tumeanza kuamka
๐Sir God...mimi na familia yangu tushajitoa kwenye mfumo wenu wa kidhalimu(dini) Sasa tunaishi kwa UTU hatuitaji tena dini zenu hao mabikra 70 lala nao we mwenyewe mito ya pombe kunywa mwenyewe haiwezekani vitu haram duniani kwako iwe harali tumegundua wewe sio mungu ni mungurumo ndomana unatutishia moto KAA na ujinga wako....
๐Sir God..si ni wewe ndo unasema umeumba ulimwengu KWA siku 7
๐ Sir God..si ni wewe ulieumba makabila mengi duniani lakini ukachagua ISLAEL kua kabila lako pendwa na ukalitumia kuwapa ujumbe wako
๐ Sir God..si ni wewe ukiachana na waislael na ukaamia KWA waarabu na kumtumia muhamadi kumpa jumbe zako
๐ Sir God.. mimi staki kuongelea makabila mengne ntakua mnafki wacha nizungumzie makabila yangu ya africa
๐ Sir God..kwani sisi tulikukosea nini?
๐ Sir God..kwani ulikosa watu wastaarabu katika makabila yetu mpaka ukatuletea Hawa madhalimu?
๐ Sir God..ulikua wapi wakati Babu/bibi zetu wanafanya utumwa,kuhasiwa,kubakwa, na ukatili mwingine
๐Sir God..kwanini uli haralisha utumwa kwenye vitabu vyako au ndo furaha yako kuona watu wakitesa watu wengine
๐Sir God..inakuaje unaangalia tu waislamu na wakristo wakiuwana na wakati zote dini zako
๐Sir God..mbona miujiza/nguvu zako zimeishia kwenye vitabu tu yani ni historia tu hatuoni ukiendelea kufanya miujiza yani tunaishi KWA imani Sasa na sio maono
๐ Sir God..wewe ni baba gani ambae hukutaka kuangalia Hali za watoto wako tuliishi mabilion ya miaka bila kuskia chochote kutoka kwako ni juzijuzi tu wakoloni walipo kuja ndipo tumeanza kuambia ka kuna baba yetu. Au kuna sehemu tulikosea ukaamua kutususa
๐ Sir God... Upendo wako hupo wapi? Mbona unafanana na wakina ashura na kajala wa huku kwetu
๐Sir God..wale walio watuma kuleta dini ndo haohao walio tuonesha dalili za kiama ufuska,ushoga,ugaidi,mauwaji ni wao ndo walio yaleta kwetu
๐ Sir God..tumeshtuka kua Hawa ulio waleta walete dini sio wema wanamtangaza shetani na Sasa tumeanza kuamka
๐Sir God...mimi na familia yangu tushajitoa kwenye mfumo wenu wa kidhalimu(dini) Sasa tunaishi kwa UTU hatuitaji tena dini zenu hao mabikra 70 lala nao we mwenyewe mito ya pombe kunywa mwenyewe haiwezekani vitu haram duniani kwako iwe harali tumegundua wewe sio mungu ni mungurumo ndomana unatutishia moto KAA na ujinga wako....