Sasa tunaishi kwa UTU hatuitaji tena dini zenu

Sasa tunaishi kwa UTU hatuitaji tena dini zenu

Muhammad hivi Leo ukimpelekea KITABU cha Quran ukamuuliza anakijua atakuambia hakijui.

NI Sawa na Yesu apelekewe Biblia au kitabu cha Mathayo, Luka, Yohana hawezi kuvijua Kwa sababu viliandikwa akiwa HAYUPO.

Quran haijashushwa kama KITABU isipokuwa imeshushwa kama mafunuo(wanayo), revelation.

Na Mtume Muhammad alikuwa akihubiri huo wahyi Kwa Watu Kisha wale Watu baada ya Kifo cha Muhammad ndîo waliandika hiyo Quran Kwa kumemorize.
Miongoni mwa wanaotajwa kuandika hiyo Quran ni Mtu mmoja aitwaye Abu Bakar
Ngoja tuone mkuu
 
Ngoja tuone mkuu

Mfuatilie huyo mwamba anayeitwa Abu Bakar

Nabii pekee aliyeleta maandishi yaliyoandikwa Kwa Chanda cha mungu wake alikuwa Musa kupitia zile mbao Mbili na NI Amri 10 tuu

Hao Wengine yalikuwa Mafunuo yaliyofunuliwa waliyochanganya na maonî na mawazo Yao kutokana na uelewa waô, Elimu yako, uzoefu waô, tamaduni zào na Zama zao
 
Mfuatilie huyo mwamba anayeitwa Abu Bakar

Nabii pekee aliyeleta maandishi yaliyoandikwa Kwa Chanda cha mungu wake alikuwa Musa kupitia zile mbao Mbili na NI Amri 10 tuu

Hao Wengine yalikuwa Mafunuo yaliyofunuliwa waliyochanganya na maonî na mawazo Yao kutokana na uelewa waô, Elimu yako, uzoefu waô, tamaduni zào na Zama zao
Tatizo ni hivyo hivyo vitabu ,humo humo vinadai ni maneno ya Mungu ,yani ni sawa usome hadithi ya sungura na fisi halafu nwandishi akuambie ni kweli kabisa sungura na fisi walikua marafiki , then watokee watu kulihamashisha hilo kwa nguvu kwa kigezo cha imani.
 
Tatizo ni hivyo hivyo vitabu ,humo humo vinadai ni maneno ya Mungu ,yani ni sawa usome hadithi ya sungura na fisi halafu nwandishi akuambie ni kweli kabisa sungura na fisi walikua marafiki , then watokee watu kulihamashisha hilo kwa nguvu kwa kigezo cha imani.

Kwa hîyo Mimi nikiandika KITABU nikasema maneno ya Mungu Wewe utayaita maneno ya Mungu?

Hayo ni mawazo ya Muhammad yaliyowekwa kwèñye rekodi ya vitabu na kuitwa Quran na kina Abu Bakar.

Wewe maneno ya Mungu aliyeumba Dunia unafikiri mchezo?

Haya Musa kadai Yale Mawe aliyotoka nayo Mlimani yaliandikwa na Mungu. Alafu akayapasua Kwa hasira. Hivi Kwa Akili ya kawaidà Mwanadamu anaweza kuvunja jiwe na maandiko aliyoandika Mungu Muumbaji
 
Kwa hîyo Mimi nikiandika KITABU nikasema maneno ya Mungu Wewe utayaita maneno ya Mungu?

Hayo ni mawazo ya Muhammad yaliyowekwa kwèñye rekodi ya vitabu na kuitwa Quran na kina Abu Bakar.

Wewe maneno ya Mungu aliyeumba Dunia unafikiri mchezo?

Haya Musa kadai Yale Mawe aliyotoka nayo Mlimani yaliandikwa na Mungu. Alafu akayapasua Kwa hasira. Hivi Kwa Akili ya kawaidà Mwanadamu anaweza kuvunja jiwe na maandiko aliyoandika Mungu Muumbaji
Kwa hiyo unataka kusema kuna namna tulipangwa mkuu?🤔
 
Kabisa mkuu, wengi sana wanaanza kujitambua .
On the throne of time religion, God must go.

A lie must surely Perish.

Dini ziliweza kudanganya watu wengi, Lakini haziwezi kudanganya watu wote kwa wakati wote.
 
Back
Top Bottom