Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
- Thread starter
- #21
Apo sasa ushanielewa izi zingine tumepigwa za usoKumbe shida ni ugeni, wala sio hizo D mbili, Mungu hana dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo sasa ushanielewa izi zingine tumepigwa za usoKumbe shida ni ugeni, wala sio hizo D mbili, Mungu hana dini
Mkuu serikal imekuonea huruma, yamkini umesoma ada ilikuwa ilikuwa elf 20, huruma hizo, ukaenda Advance ada 35 huruma hizo, chuo umepewa mpaka mkopo huruma hizo, unataka huruma gani tena😂😂😂😂😂Serekali tuooneeni huruma jamani tupeni ajira. Mtaani ni kugumu sana
Mimi au wewe ndo ukae kimya mkuu🤷🏽♂️Njia za MUNGU hazichunguziki kwa staili unayotaka wewe,matendo yake ni makuu na ya ajabu mnoo,kaa kimya.
Mungu hana shida na dini,binadamu ndio wenye shida na diniSurat Al-Imran, Aya ya 19: "Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..."
Umejuaje hana shida?Mungu hana shida na dini,binadamu ndio wenye shida na dini
Sisi hatujashushiwa mkuu, Torat Musa alipewa maelekezo vya kuandika, maandiko mengine yameandikwa na manabii kwa msaada wa MunguSawa mkuu , na nyie Mungu wenu wa Israel kawashushia kwa lugha ipi?
Nenda kwa Mwamposa ukutane na miujiza ya Watu kutapika Nondo, misumari, mikasi na Vyura😆😆😆Na ndio miujiza tunayo itaka iyo,kupita juu ya bahari kwa miguu na usizame😂😂😂,vipofu kuona na viwete kutembea😂😂
Thibitisha ni msaada wa Mungu , na sio maneno ya mwandishi tu🤔Sisi hatujashushiwa mkuu, Torat Musa alipewa maelekezo vya kuandika, maandiko mengine yameandikwa na manabii kwa msaada wa Mungu
Anasemaje yeye ,wakati kitabu kashushiwa tayari kikiwa na hiyo aya?
Wenye nayo wanadai imeshushwa, wewe unadai haijashushwa tumuamini nani sasa🤔Quran haijashushwa WALA haijaandikwa na Allah.
Quran imeandikwa na kukusanywa baàda ya Muhammad kuondoka.
Kwani wewe umethibitisha ilivyoshushwa,Thibitisha ni msaada wa Mungu , na sio maneno ya mwandishi tu🤔
Mimi nasikia tu imeshushwa wala sizingatii mkuu, ila ungenipa uthibitisho wa unachokisema leo hii niokoke hapa😊Kwani wewe umethibitisha ilivyoshushwa,
Shida ipo mkuu, kila siku tunahubiriwa tuje upande fulani ndio upo vizuri zaidi.Kila mtu anaamini jinsi anavyoamini yeye hakuna shida,
Wenye nayo wanadai imeshushwa, wewe unadai haijashushwa tumuamini nani sasa🤔
Kwa akili tu ya kawaida tu Mungu mwenye uwezo na ameumba kila kitu hivi inaingia akilini kuwa Mungu dini yake ni uislamu,hivi dini inamsaidia nini Mungu wakati yeye ndio kila kitu!?Umejuaje hana shida?
Uyu nae n kama kiboko ya wachawi one day yesNenda kwa Mwamposa ukutane na miujiza ya Watu kutapika Nondo, misumari, mikasi na Vyura😆😆😆
Sawa kila mtu anaamini jinsi anavyoamini yeye mkuu hakuna shidaShida ipo mkuu, kila siku tunahubiriwa tuje upande fulani ndio upo vizuri zaidi.
Kila kitu una maanisha nini mkuu? Kwamba hata mimi ni Mungu ?Kwa akili tu ya kawaida tu Mungu mwenye uwezo na ameumba kila kitu hivi inaingia akilini kuwa Mungu dini yake ni uislamu,hivi dini inamsaidia nini Mungu wakati yeye ndio kila kitu!?