Ngoja tuone mkuuMuhammad hivi Leo ukimpelekea KITABU cha Quran ukamuuliza anakijua atakuambia hakijui.
NI Sawa na Yesu apelekewe Biblia au kitabu cha Mathayo, Luka, Yohana hawezi kuvijua Kwa sababu viliandikwa akiwa HAYUPO.
Quran haijashushwa kama KITABU isipokuwa imeshushwa kama mafunuo(wanayo), revelation.
Na Mtume Muhammad alikuwa akihubiri huo wahyi Kwa Watu Kisha wale Watu baada ya Kifo cha Muhammad ndîo waliandika hiyo Quran Kwa kumemorize.
Miongoni mwa wanaotajwa kuandika hiyo Quran ni Mtu mmoja aitwaye Abu Bakar
Ngoja tuone mkuu
Tatizo ni hivyo hivyo vitabu ,humo humo vinadai ni maneno ya Mungu ,yani ni sawa usome hadithi ya sungura na fisi halafu nwandishi akuambie ni kweli kabisa sungura na fisi walikua marafiki , then watokee watu kulihamashisha hilo kwa nguvu kwa kigezo cha imani.Mfuatilie huyo mwamba anayeitwa Abu Bakar
Nabii pekee aliyeleta maandishi yaliyoandikwa Kwa Chanda cha mungu wake alikuwa Musa kupitia zile mbao Mbili na NI Amri 10 tuu
Hao Wengine yalikuwa Mafunuo yaliyofunuliwa waliyochanganya na maonî na mawazo Yao kutokana na uelewa waô, Elimu yako, uzoefu waô, tamaduni zào na Zama zao
Yeah wewe mwenyewe n Mungu,kuna nguvu za Mungu ndan yako ishu n kujua kuzitumia tuKila kitu una maanisha nini mkuu? Kwamba hata mimi ni Mungu ?
Waumini watasema una kufuru sasa🤔Yeah wewe mwenyewe n Mungu,kuna nguvu za Mungu ndan yako ishu n kujua kuzitumia tu
Hapana huo ndio ukweli mkuu,n walio fanikiwa kuzijua izo nguvu ndo leo hii unaskia wanàjiita manabiii🧐Waumini watasema una kufuru sasa🤔
Tatizo ni hivyo hivyo vitabu ,humo humo vinadai ni maneno ya Mungu ,yani ni sawa usome hadithi ya sungura na fisi halafu nwandishi akuambie ni kweli kabisa sungura na fisi walikua marafiki , then watokee watu kulihamashisha hilo kwa nguvu kwa kigezo cha imani.
Sijakuelewa hapo!?Kila kitu una maanisha nini mkuu? Kwamba hata mimi ni Mungu ?
Umesema mungu ndio kila kitu ,kivp?Sijakuelewa hapo!?
Kwa hiyo unataka kusema kuna namna tulipangwa mkuu?🤔Kwa hîyo Mimi nikiandika KITABU nikasema maneno ya Mungu Wewe utayaita maneno ya Mungu?
Hayo ni mawazo ya Muhammad yaliyowekwa kwèñye rekodi ya vitabu na kuitwa Quran na kina Abu Bakar.
Wewe maneno ya Mungu aliyeumba Dunia unafikiri mchezo?
Haya Musa kadai Yale Mawe aliyotoka nayo Mlimani yaliandikwa na Mungu. Alafu akayapasua Kwa hasira. Hivi Kwa Akili ya kawaidà Mwanadamu anaweza kuvunja jiwe na maandiko aliyoandika Mungu Muumbaji
Yes,nikimaanisha yeye anayaweza yote ,yaani yeye ni Alfa na OmegaUmesema mungu ndio kila kitu ,kivp?
Hayo ni maneno tu na slogan za kiimaniYes,nikimaanisha yeye anayaweza yote ,yaani yeye ni Alfa na Omega
Kwa hiyo unataka kusema kuna namna tulipangwa mkuu?🤔
Kwahiyo kuhusu uwepo wa Mungu wewe unaegemea wapi!?Hayo ni maneno tu na slogan za kiimani
HayupoKwahiyo kuhusu uwepo wa Mungu wewe unaegemea wapi!?
Kabisa mkuu, wengi sana wanaanza kujitambua .Safi watu mnaamka sasa.
Polepole mtatuelewa tu, Atheists.
On the throne of time religion, God must go.Kabisa mkuu, wengi sana wanaanza kujitambua .
Sure mkuu , tuendelee kuwatoa tu ,kwenye huu ujinga.On the throne of time religion, God must go.
A lie must surely Perish.
Dini ziliweza kudanganya watu wengi, Lakini haziwezi kudanganya watu wote kwa wakati wote.