Mfa maji haachi kutapa ukweli simba wamepoteana.ni swala la muda mtaona.Yametimia! Sasa Tuone Kama SSC Itakufa au Haitafanya vizuri Kwa kutokuwepo na Chama.
Nawaambia Wapenzi wenzangu wa Simba kuwa sasa tufurahi kwani hakuna tena ubabaishaji eti bila Fulani timu haichezi, sasa WASUBIRI Tuone Kama SSC haitacheza wala kushinda mataji!
Hongera SSC Kwa operation hiyo!
Kila Jambo na wakati wake na kila wakati na Jambo lake! Enzi za Chama zimepita tunaanza na enzi mpya!
Hahahahaha mnasahau tatizo simba ni uongoziHakika๐
NI FURAHA HAKIKAYametimia! Sasa Tuone Kama SSC Itakufa au Haitafanya vizuri Kwa kutokuwepo na Chama.
Nawaambia Wapenzi wenzangu wa Simba kuwa sasa tufurahi kwani hakuna tena ubabaishaji eti bila Fulani timu haichezi, sasa WASUBIRI Tuone Kama SSC haitacheza wala kushinda mataji!
Hongera SSC Kwa operation hiyo!
Kila Jambo na wakati wake na kila wakati na Jambo lake! Enzi za Chama zimepita tunaanza na enzi mpya!
Timu itachezaje?Kwangu hata wasingesajili kabisa, wangemuondoa Chama tu baasi roho yangu ingekuwa kwatu
Sababu ya kupoteana ni niniMfa maji haachi kutapa ukweli simba wamepoteana.ni swala la muda mtaona.
Kwakweli nimepigwa na kitu kizito, nimejikatia tamaaYametimia! Sasa Tuone Kama SSC Itakufa au Haitafanya vizuri Kwa kutokuwepo na Chama.
Nawaambia Wapenzi wenzangu wa Simba kuwa sasa tufurahi kwani hakuna tena ubabaishaji eti bila Fulani timu haichezi, sasa WASUBIRI Tuone Kama SSC haitacheza wala kushinda mataji!
Hongera SSC Kwa operation hiyo!
Kila Jambo na wakati wake na kila wakati na Jambo lake! Enzi za Chama zimepita tunaanza na enzi mpya!