mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Huenda Bado kwenye msiba wa ManjiWamemsajili lakini hawana furaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda Bado kwenye msiba wa ManjiWamemsajili lakini hawana furaha.
Hahahahaha..pale simba kuna nafasi ya Mkurugenzi wa wanachama vipi umeiomba ?Kwangu hata wasingesajili kabisa, wangemuondoa Chama tu baasi roho yangu ingekuwa kwatu
Ndiyo maana mliitwa mbumbumbu, mchezaji muhimu anapoondoka mnaona poa tu. Na hapo ameimarisha upande wa pili. Simba mnatakiwa mjitafakari badala ya kujidai eti safisha safisha.Yametimia! Sasa Tuone Kama SSC Itakufa au Haitafanya vizuri Kwa kutokuwepo na Chama.
Nawaambia Wapenzi wenzangu wa Simba kuwa sasa tufurahi kwani hakuna tena ubabaishaji eti bila Fulani timu haichezi, sasa WASUBIRI Tuone Kama SSC haitacheza wala kushinda mataji!
Hongera SSC Kwa operation hiyo!
Kila Jambo na wakati wake na kila wakati na Jambo lake! Enzi za Chama zimepita tunaanza na enzi mpya!
Kwani usemaji ndio unacheza uwanjani 😀 😀Idara ya USEMAJI inahitaji mtu mpya...
Chief Mangungo wa MsimbaziHahahahaha mnasahau tatizo simba ni uongozi
Mboni unajitukana mwenyewe !Mimi ni Simba ila sijui timu hiyo ni inafanyaga nini mf. Hai ni huu mtu malaya na mshoga nafuu nini . Umalaya kwa mwanaume lakini. Ila simba saivi haina kipengele mnatuaibisha kwa sababu mko kama mashoga tu hamna jingine . Mna vaa jezi bure mnaenda kule kushikwa shikwa tu mnarudi jamani hii timu ifutwe tu ibaki simba girls atleast ipo juu kwa ligi na magoli . Simba queens jamani majike ndio wanajitambua nyie ma boys kajambeni mkalalale mnakera kazi ushoga tu. Ndio mANA CHAMA KAENDA
Mi sio mchezajiMboni unajitukana mwenyewe !
Ila una matusi!Mi sio mchezaji
mara ya ngapiYametimia! Sasa tuone kama SSC itakufa au haitafanya vizuri kwa kutokuwepo na Chama.
Nawaambia wapenzi wenzangu wa Simba kuwa sasa tufurahi kwani hakuna tena ubabaishaji eti bila fulani timu haichezi, sasa wasubiri tuone kama SSC haitacheza wala kushinda mataji!
Hongera SSC kwa operation hiyo!
Kila jambo na wakati wake na kila wakati na jambo lake! Enzi za Chama zimepita tunaanza na enzi mpya!
===
Pia soma: Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia
NImewavumilia nimechokaIla una matusi!
Sasa tulia mama ,Simba hii hautojuta kuishabikiaNImewavumilia nimechoka