Sasa vituko vya "Gen Z" vinaelekea kutosha, vp "Generation Alpha" hawajaanza kusikika?

Sasa vituko vya "Gen Z" vinaelekea kutosha, vp "Generation Alpha" hawajaanza kusikika?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Gen Alpha ni madogo waiozaliwa kuanzia 2010.

Nafikiri kielimu ndio bado vipo form 1, 2 or atleast 3 na mnaelewa mtoto wa form 2 siku hizi unakuta tayari ameshakuwa "porn star" au kama yupo mtaani tayari huyo ni mwanakijiji anafanya atakavyo maana siku hizi watoto hawataki kuitwa watoto.
 
Back
Top Bottom