Sasa Watanzania wanangojea kuona Wabunge wa kuteuliwa na Rais wakiapishwa haraka haraka na Ndugai kama akina Mdee

Nimeipenda hiyo Mkuu Nchi iko mikononi mwa MBWA, na Nchi yoyote iliyo mikononi mwa MBWA haiwezi kupiga hatua zozote za Kimaendeleo.
 
2.trilion ndizo zinazowazuzua
 
Tinatawaliwa kishenzi kabisa.
 
Uwe unaakili basi kidogo ni kwamba kanuni inatokana na sheria Mama, na sheria Mama iliyozaa sheria nyingine ni KATIBA

Kwa mantiki hiyo basi KATIBA haiwezi kuifuta KANUNI bali KANUNI inatakiwa kuifuta KATIBA

Mnatuletea utawala wa kihuni kumbukeni na matokeo ya utawala wa kihuni ni kutuletea maendeleo ya kihuni, msije kumtafuta mchawi aliyewaloga wakati sasa hivi mnajiwangia wenyewe
 
Sawa mkuu ndo maana watu wanasubiri na hawa wabunge wawili wateule wa Rais waapishwe haraka ili waendelee kutimiza majukumu ya kibunge kama ilivyo kwa wale 19 wa viti maalumu.
 
Wataapishwa getini maana parking kumejaa
 
Kabla sijakujibu naomba wewe mwenyewe uisome post yako taratibu na bila Jazba kisha utajitambua kuwa una hasira na haraka na papara.

Hata hivyo Mimi nimegundua ulichotaka kusema na nakujibu kama ifuatavyo.

Kwanza ni kweli kabisa kanuni yeyote Ile au sheria yeyote Ile ndani ya JMT haitakiwi ipingane na katiba ambayo ndiyo sheria mama.

Pili kama Kanuni ya Bunge iliyonukuliwa na Ndugai ingekuwa na shida.. yaani kuwa kinyume/ kupingana na Katiba ya JMT.. .Mahakama yetu tukufu isingekaa kimnya KWA uvunjifu huo wa Katiba kwani moja ya jukumu la mahakama ni hilo.

Mwisho ukiyakataa haya basi wewe wajifanya mjuzi na maridadi wa Sheria*Katiba na kanuni za Bunge kuliko wabunge wote wa JMT walioridhia kanuni hiyo ipite na pia wewe ni mtafsiri mzuri wa Katiba kuliko mahakama zetu.

Gombea ujaji...basi katika mahakama ya ICC..
 
Kuna mahakama tena au bunge?
 
Edeeddewew
 
Mnara wa BABELI waanza kuyumba tayari kwa kuanguka. Mungu hadhihakiwi.
 
UJOBILE Malafyale - YOU HAVE SAID
 
Kanuni hazitakiwi kukinzana na Katiba, ikitokea utata wowote basi Katiba ndio hutawala.
 
Pole ndugu, lakini nawe waonyesha jazba,hasira.
Tulia kidogo ili kwanza utambue kuwa Tz ni yetu wote.
Siku hizi kuna maeneo mengi tu yanavurugwa ambayo Wasomi, wataalamu wetu wanayanyamazia au kujifanya hawayaoni ili tu kufurahisha wakubwa na kulinda matumbo yao.
Wakati wa kuanza kuyarebisha ni SASA. AMEN
 
Kuna mahakama tena au bunge?
Mahakama si bunge. Kazi ya Bunge ni kutunga sheria ndani ya JMT. Lakini kazi mojawapo ya mahakama ni kuhakikisha kuwa Bunge halitungi sheria iliyo kinyume au inayokinzana na Katiba ya JMT.
Umeelewa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…