Sasa zamu ya akina dada ikitokea fursa kuchagua mume hapa Jf utamchagua nani?

kama me. nangoja. maana natumia kira ya turufu.
 
Asante mamito, mtoto mzuri mtoto mantashari, mtoto mujarab kwa barubaru liso ujamali Kiranga.
Nimekuona nafsi yangu imekua mujarabu.... Vile wajua kunikosha wallah najiona timilifu
 
Mi mwenyewe cna mke..,muanzisha uzi umeniona eenh..???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…