Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
aliyeniwahi tena mjeda wana hasira haoTalaka nipewe na nani?
nitaje mimi bado sijatajwaNiliemfikiria ameshatajwa!! bora nikae kimya!! imagine ametajwa tu na roho imeniuma lol.
Mjeda!!!!aliyeniwahi tena mjeda wana hasira hao
Ningekutaja ila kuna mtu kaniPM tayari ameshanipa warning nikituhubutu kukutaja nitamtambua.🙂🙂nitaje mimi bado sijatajwa
Tatizo sio kutaja, Tatizo ni kumtaja mtu kumbe yeye anakuchukua balaa ha ha ha ha ha ha ha ah unakuwa unamuweka kwenye hali ngumu lol.pole best ndo hivyo mtaje mwingine hahahahaaa
haaaaa huyo muongo lazima atakuwa atoto mimi simpendi nakupenda weweNingekutaja ila kuna mtu kaniPM tayari ameshanipa warning nikituhubutu kukutaja nitamtambua.🙂🙂
Haha kumbe unasubiri amtaje "mume wangu", kwani mkweo humjui?Ndio nilimtaja, nasubiri ataje maana amesema atamtaja mumeo.
Tena umenikumbusha, hivi yule mzee wa vingreza alikwenda wapi, maana ghafla kama ndege ya Malaysia, we mtoto mbayaaa!!Haha kumbe unasubiri amtaje "mume wangu", kwani wakwe zako huwajui?
duuuh sasa huo ugomvi utanipendaje akati mimi sipo confortable kwako unapendwa sana wewe hilo tatizo kuibiwa fastaaa!!!!!Hahahaaaaaa!! Na ole wake akutaje!
Yupo ndani, nampetipeti tuTena umenikumbusha, hivi yule mzee wa vingreza alikwenda wapi, maana ghafla kama ndege ya Malaysia, we mtoto mbayaaa!!
Ajikute!!Yupo ndani, nampetipeti tu
Unaloooo bi mkubwaAjikute!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Onyo!!mimi ni padre hivyo tuheshimiane!![emoji85]
Mie tena!! Baba yako yu wapi?Unaloooo bi mkubwa
Nikuulize wewe mkeweMie tena!! Baba yako yu wapi?
Nyie si ndio mnafichiana siri jamani.Nikuulize wewe mkewe