UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,885
Well sayingMwisho mtachaguana mama na mtoto baba na binti babu na bibi na wajukuu. JF ni puzzle umri wa mtu ni siri ya mtu. Zoezi kama hili acha lipite. Kuna watoto wengi sana humu mwisho kujivunjia heshima bure.
unipe walau tumaini namba nimeipata au ngumu hapooha ha ha shauri yako ukiendelea kutaja majina ndio utaharibu Zaidi, na atoto atapewa warning na yeye lol,
Hahah Leo na me kanificha siri yake.Nyie si ndio mnafichiana siri jamani.
Yeah I hope everything is okay, anaotesha tu gutambiKwakweli tokea aniage ni muda sasa umepita, sijui kuna usalama!!
Hebu tulia kijana, nini unahaha! Jiaminiduuuh sasa huo ugomvi utanipendaje akati mimi sipo confortable kwako unapendwa sana wewe hilo tatizo kuibiwa fastaaa!!!!!
Mie siogopi warning.ha ha ha shauri yako ukiendelea kutaja majina ndio utaharibu Zaidi, na atoto atapewa warning na yeye lol,
Hivi umemtaja nani?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Gusemosi hagukosi chai kutwa nzima.Yeah I hope everything is okay, anaotesha tu gutambi
Hahaha chai anaipooza saa zima Kwanza, unadhani kasahau "lisemosi" lilivyomtendaGusemosi hagukosi chai kutwa nzima.
duuuuuh kwako tu kujiamini kunapungua maana ukiwa na mzuri sana kama wewe tegemea kumegewaHebu tulia kijana, nini unahaha! Jiamini
nshatuma vp haupo mvuto au huaminiSasa mbona hiyo picha unanibania!!
Kumegewa suna bwana.duuuuuh kwako tu kujiamini kunapungua maana ukiwa na mzuri sana kama wewe tegemea kumegewa
haaaa yamekuwa hayo tena duuuh sio vizuri kugawa gawa kama unae wakoKumegewa suna bwana.
Sio sana kidogo tu.haaaa yamekuwa hayo tena duuuh sio vizuri kugawa gawa kama unae wako
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hivi umemtaja nani?
mhhhh ukikutana na mguu wa mtoto je si nitaanza kuelea mwenzioSio sana kidogo tu.