Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Video queen Sasha, anadai kuchumbiwa na mzungu ambaye ametajiwa mahari ya mil 40 na wazazi wake na amekubali kuitoa hivyo anatarajiwa kufunga ndoa mwakani mwezi wa tatu.
"Nashukuru nimepata mzungu naamini atanipenda kweli tofauti na wanaume wa kibongo si haba ana Pesa ndefu Kwani mahari aliyotajiwa bila ya kuwa na Pesa asingeweza " alisema Sasha.
"Nashukuru nimepata mzungu naamini atanipenda kweli tofauti na wanaume wa kibongo si haba ana Pesa ndefu Kwani mahari aliyotajiwa bila ya kuwa na Pesa asingeweza " alisema Sasha.