Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Ngoma ikilia sana hupasukaNaombeni niweke wazi, mimi sio askari wala siko upande wao!!
Najua maumivu anayoyapitia Edgar Mwalebela ( Sativa ) baada ya kutekwa na kunusurika kuuwawa mwaka huu.
Sasa jamaa yetu amekuwa akishambulia askari yoyote kwa lugha ngumu na kali.
Naomba ashauriwe apunguze kufanya hivyo, achague mbinu ya kudili na adui kimyakimya. Hii mbinu ya sasa inachafua taswira yake.View attachment 3152394View attachment 3152395View attachment 3152396
Umekisoma ulichoandika? Walinzi Gani wanaotuhumiwa kuteka watu ?I agree, Jeshi la polisi ni nguzo muhimu kwenye jamii na ustawi wetu. Kuna matatizo kibao na mengi askari wanaya solve kizalendo na kwa upendo. Kwanini anaidharau kisa watu wachache waliomkera?yeye anajiona nani kisa ana account twitter? Anajua watu wapo polisi kwa njaa? Hivi ukiamua kuitumikia jamii yako kwa kua polisi una kosa gani? Polisi duniani kote wapo na ni kazi ya kutoka karne hizo.
📌📌Waambie polisi waache dhihaka kwa Watanzania.
Sativa ameongea yote kuhusu jaribio lake la kuuawa na polisi.
Mnampuuza malalamiko yake, namuunga mkono awaseme mpaka muone haya
Yuko Kenya haishi hapa. Na Kenya Mafwele na watekaji wake hawawezi kufikaAmezidi sana,siyo muda ataingia kwenye 18 zao, nikweli alichofanyiwa si kitu kizuri ila siyo muda ataponzwa na sifa za kijinga kwa comments za kumsifia...........wanamlia timing tu ajichanganye
Aaah kumbe alishakimbia? Kama ni hivyo sawa japo Kenya siyo mbali anaweza kumalizwa huko huko tuYuko Kenya haishi hapa. Na Kenya Madlfwele na watekaji wake hawawezi kufika
Mkuu nikweli kwa muktadha wa nidhamu. Adabu na kulinda hadhi vya vyombo vyetu.Naombeni niweke wazi, mimi sio askari wala siko upande wao!!
Najua maumivu anayoyapitia Edgar Mwalebela ( Sativa ) baada ya kutekwa na kunusurika kuuwawa mwaka huu.
Sasa jamaa yetu amekuwa akishambulia askari yoyote kwa lugha ngumu na kali.
Naomba ashauriwe apunguze kufanya hivyo, achague mbinu ya kudili na adui kimyakimya. Hii mbinu ya sasa inachafua taswira yake.View attachment 3152394View attachment 3152395View attachment 3152396
Kenya sio Rwanda Myfriend.Aaah kumbe alishakimbia? Kama ni hivyo sawa japo Kenya siyo mbali anaweza kumalizwa huko huko tu
Maana yake ni kua anao wa attack wanapeana zamu ya kulala na wengine kuendelea na majukumu..yeye akilala ni kama bata mzinga hadi asubuhi,,,YaniHivi kuna mtu amekuelewa hiki ulichojibu?
Mie nime assume tuTz ndiko tuliofikia huko?