Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Dereva wa wizara flani hviHuyu jamaa ni nani mbona maruweruwe tu ila nmeelewa kinamna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dereva wa wizara flani hviHuyu jamaa ni nani mbona maruweruwe tu ila nmeelewa kinamna
SawaaDereva wa wizara flani hvi
Tumbo la uzazi linauma kwa ajili ya mitandao au wanao?Hii mitandao ifungwe tu.
Wazazi tumbo la uchungu linauma.
Huyu MR Ben ni mshukiwa namba moja kwa polisi wenye weledi huyu angekuwa ndani mpaka muda huu.
Unakosea sana,nguvu ya mtandao ndio imefanya mpaka kijana akapatikana,btw upo humu kitambo au huu sio mtandao?Hii mitandao ifungwe tu.
Wazazi tumbo la uchungu linauma.
Unafikiri Dunia ikiwa na wapumbavu kama wewe,maisha yangeendelea??Mimi ni Bora nibaki nashida zangu tu matatizo yangu yananisumbua halafu nikaanze kupapalikia maslahi ya watu hapana! Jamaa alipewa warning akaipost Ile dm ya warning akawa kama amaeikejeli hivi nahisi jamaa ndo wakaanza kumvutia Kasi
Ni ccm,hawaweziHuyu MR Ben ni mshukiwa namba moja kwa polisi wenye weledi huyu angekuwa ndani mpaka muda huu.
Hili liko wazi kabisa ni kazi ya mikono yake hii.Bashite huyo
Achana na hao Mbwa wa Januari!!Sawa, kwahy wao waliofanya hvy wamefanya kwa maelekezo ya nani mana JPM amekufa mwaka wa tatu huu mana ndie mnamtuhumu kuhusu ishu ya Lissu
Hii siyo issue ya polisi kwa sababu ni kundi moja.Huyu MR Ben ni mshukiwa namba moja kwa polisi wenye weledi huyu angekuwa ndani mpaka muda huu.
Mtekaji huyu
Naiomba serikali kwa kupitia kwa mkuu wa wilaya huyu ndugu great thinker anyanganywe simuAlitukana?
Kama alikuwa anatukana aelewe kuwa matusi yanaumiza wengi kuliko kichapo.
Kichapo anakula mmoja tu, matusi ni wadau wote, waliokuwemo na wasiokuwemo.
Adhabu yake, hutokea ambao hawana asili ya kutukanana, wanakuminya tu.
Kwa nini asiuwawe huyu?Mtekaji huyu
Sawa sawa Mimi ni mpumbavu una lingine mkuu?Unafikiri Dunia ikiwa na wapumbavu kama wewe,maisha yangeendelea??