Sativa ni Lissu part II

Sativa ni Lissu part II

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Mtu upigwe risasi kwenye taya na haionyeshi ilikotokea wala haikutolewa mwiliNI uweze kusema. Ati Sativa imewezekana?!
mtu alikuwa ametwa, hakwa kwenye mtandao ila alikuwa anafatilia washikaji walivyokuwa wanampambania. Ati Sativa imewezekana?!

View: https://x.com/i/status/1806574879786877201
 
Bongo ni kama Gwantenamo vile - CCM si chama cha siasa kabisa.
 
Ni mbinu chafu inayotumiwa na CCM kuwatisha vijana, kuwaondolea nguvu yoyote ila yaani ujasiri wa kudai haki zao hata zile ambazo zimo kwenye katiba.
 
..ukianza kubisha au kukanusha kwamba Lissu alishambuliwa unapoteza imani ya wasomaji wako.

..kwa mfano, sasa hivi gari alimoshambuliwa Lissu lipo mtaani. Na Lissu naye ni muwazi anaongea nini kilitokea.

..maswali mengi kuhusu tukio la Lissu yanaweza kujibika bila tatizo lolote. Hakuna haja ya kukisia nini kilitokea ktk shambulizi dhidi ya Lissu.
 
Mtu upigwe risasi kwenye taya na haionyeshi ilikotokea wala haikutolewa mwiliNI uweze kusema. Ati Sativa imewezekana?!
mtu alikuwa ametwa, hakwa kwenye mtandao ila alikuwa anafatilia washikaji walivyokuwa wanampambania. Ati Sativa imewezekana?!

View: https://x.com/i/status/1806574879786877201

Mnadhani hatujui kuwa Wapumbavu mtamwagwa kutetea uharamia? Tunajua vizuri na tuko tayari kuwakabili. Njooni Tu mtatukuta washenzi nyie.
 
Huyu maza mwizi haifai kwa chochote
Yaani kipindi la wazee wa CCM wakiburuzwa eti maza apewe mitano - nchi inakwenda kupigwa mnada.
Pamoja na mabaya yake yote ila Mzee wa Nazaleti tutakubuka maneno yake.
 
Shida yako unajifanya kuukataa ukweli wakati unaujua. Wakati wa Ziara ya Makonda kipindi akiwa mwenezi, kelele nyingi zilikuwa kwenye kupoteza Kwa watu. Tukitetea huu ujinga ni shida.
 
Kuna mambo yanafanyika ili ukweli ujulikane.
Hawa wanaolengwa kuuawa kisha kubaki kuna kitu wanakiweka wazi kwa jamii.
 
Back
Top Bottom