Mtu upigwe risasi kwenye taya na haionyeshi ilikotokea wala haikutolewa mwiliNI uweze kusema. Ati Sativa imewezekana?!
mtu alikuwa ametwa, hakwa kwenye mtandao ila alikuwa anafatilia washikaji walivyokuwa wanampambania. Ati Sativa imewezekana?!
View: https://x.com/i/status/1806574879786877201
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawalaBongo ni kama Gwantenamo vile - CCM si chama cha siasa kabisa.
Huyu maza mwizi haifai kwa chochoteUsilinganishe uchaguzi wa dikteta jiwe na utawala wa haki wa huyu mama.
Mnadhani hatujui kuwa Wapumbavu mtamwagwa kutetea uharamia? Tunajua vizuri na tuko tayari kuwakabili. Njooni Tu mtatukuta washenzi nyie.Mtu upigwe risasi kwenye taya na haionyeshi ilikotokea wala haikutolewa mwiliNI uweze kusema. Ati Sativa imewezekana?!
mtu alikuwa ametwa, hakwa kwenye mtandao ila alikuwa anafatilia washikaji walivyokuwa wanampambania. Ati Sativa imewezekana?!
View: https://x.com/i/status/1806574879786877201
Yaani kipindi la wazee wa CCM wakiburuzwa eti maza apewe mitano - nchi inakwenda kupigwa mnada.Huyu maza mwizi haifai kwa chochote
Punguza dhihaka mwenzako anapopata shida.Mtu upigwe risasi kwenye taya na haionyeshi ilikotokea wala haikutolewa mwiliNI uweze kusema. Ati Sativa imewezekana?!
mtu alikuwa ametwa, hakwa kwenye mtandao ila alikuwa anafatilia washikaji walivyokuwa wanampambania. Ati Sativa imewezekana?!
View: https://x.com/i/status/1806574879786877201
Kawaulize. Kisa mambo ya chama mnapoteza ubinadamu.Hao jamaa walikuwa na risasi moja tu?
Anaelewa sana ila uchawa umegeuzwa ajira ya wengi, hawa ni vijana wa CCM ambao bado hawajajitambua.Punguza dhihaka mwenzako anapopata shida.
Kweli mkuuAnaelewa sana ila uchawa umegeuzwa ajira ya wengi, hawa ni vijana wa CCM ambao bado hawajajitambua.