Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ni sahihi Mkuu, zipo njia nyingi za kukutafuta wakiamua.TUKANA UONE alafu onyesha Sura utatafutwa tu hata ujichimbie handaki ujifukie Chini watakufuata huko huko as long as Sura yako wanaijua
Wakigundua unapenda totozi basi watakuletea mtoto mzuri wa kuja kukudaka
Wakigundua unapenda beer, basi utajikuta unapata rafiki ambaye muda wote anakununulia gambe tu kumbe mtego wa kukudaka 🙌