SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

Anaweza akawa mzoefu sana lakini Mungu akisema hapana huwa hapana Kweli.
Never ever usijidanganye huyo ameachwa kuja kutoa ONYO km chambo, read between the lines risasi inaua true shooter never miss the target kwenye hii huyo kaachwa aishi na jeraha limkumbushe siku nyingine asirudie tena na iwe fundisho kwa wale wote wenye tabia km zake
 
Na Wewe nenda katukane ili ukagundue ni Mwananchi gani huyo, mwenzio alichofanywa mengine hatosema mpaka anaingia kaburini ni Siri yake haya Wewe fanya uende basi ukatuletee mrejesho afisa kipenyo
Punguza hasira mkuu sijasupport na wala sisupport matusi . Mkasiriko mengi sana hata kama mhusika hatosema kilichotakiwa ni haki kutendeka
 
Punguza hasira mkuu sijasupport na wala sisupport matusi . Mkasiriko mengi sana hata kama mhusika hatosema kilichotakiwa ni haki kutendeka
Ndio unatukana watu mtandaoni ukitegemea kwamba utachekewa kituo Cha Polisi? Unatukana ukitegemea unaenda chekelea mahakamani si ndio? Na Wewe nenda katukane upigwe msako wa Mbwa udakwe ujikute upo huko msitu ambao haujahi hata kufika
 
Mbona kwa Lissu ilishindikana?
 
Hili ni kosa kisheria kutukana , nasupport ukosoaji kwa kutumia lugha ya staha, serikali wanamapungufu ,ila haikuwa na ulazima kutukana .
Ndio iwe funzo na fundisho kwa wale wote wenye tabia km hizo huo ni Mfano tu ukitaka na Wewe ulionje Joto la Jiwe nenda katukane kule alafu onyesha na Sura yako kabisa
 
Ndio unatukana watu mtandaoni ukitegemea kwamba utachekewa kituo Cha Polisi? Unatukana ukitegemea unaenda chekelea mahakamani si ndio? Na Wewe nenda katukane upigwe msako wa Mbwa udakwe ujikute upo huko msitu ambao haujahi hata kufika
Sasa hapa mimi nimetukana au wewe ndio unatukana ,
 
Ndio iwe funzo na fundisho kwa wale wote wenye tabia km hizo huo ni Mfano tu ukitaka na Wewe ulionje Joto la Jiwe nenda katukane kule alafu onyesha na Sura yako kabisa
Haina shida tangulia wewe nakuja ngoja nifungue account
 
Sasa hapa mimi nimetukana au wewe ndio unatukana , una Kiranga chako
Wewe si unajifanya mtetezi wa haki na Msaidizi wa masuala ya kisheria sio? Kwa hio ukitukana mitandaoni watu wakuchekee tu na Sura yako wanayo? Unawatukana wanakuona huyu hapo wakuchekee tu ili uendelee kuwatukana? Bange zake hospital wamempelekea maana kule msituni hakuna Bange kule
 
N

Njoo na wewe nikufirimbe mtoto mzuri
Duuuh Mwanaume huyo lakini sasa itakuaje? Atasimulia kwenye kilichompata au ndio inabaki Siri yake maana tape wamebaki nayo kule akifanya fyoko dooh salaaale imevuja
 
Unatamani kutombwah toka Jana.. unatetea ujinga ujinga TU.. mothfck kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…