SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

Sio ivo tu katavi pia kuna chatu bila kusahau koboko pale atapo amka, all in all fisi haachi kitu.
 
Enyi vijana acheni kupigania haki katika Nchi kwani hamtaipata bali mtaleta majonzi kwenye familia zenu.
 
HII HAPANA,

#Samia mitano tena
 
Kwahiyo amepigwa risasi ya kichwa ikatokea mdomoni na anaongea vizuri tu...basi sawa
 
Daaaaa....wamemfilimbaa huyo hatakaa atukane serikali kamweer
Siku hizi nikisikia chawa anasema fulani ameitukana serikali basi moja kwa moja najua huyo mtu alikua anapinga ufisadi anapinga tozo kandamizi. Kwa Machawa hayo yote ni matusi.

#KataaMachawa
 
Mwananchi ampeleke Karakana ya Polisi Oesterbay hiyo Access mwananchi wa Kawaida anaitoa wapi??

Na bado asubuhi amchukue ampeleke Arusha ampeleke katavi pia akampige risasi???

Mwananchi wa Kawaida?? Really??
Ukiwa Chawa na ukikutwa unatumia kichwa badala ya mpododo kufikiri una kesi kubwa sana. Si unaona logic ya huyo jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…