Hivi hawa wanamhoji na kuchukuwa video akili zao ziko kwenye makalio? Ama kweli binadamu tumageuka kuwa wanyama. Ni Tanzania pekee utakutana na uhayawani kama huu.Wakuu Salama,
Sativa amekuwa akitafutwa toka weekend (Jumapili - 23/6/2024), baada ya ndugu zake kumtafuta bila mafanikio.
Watetezi wa haki za binadamu wamepiga kelele kuhusu hili hata mmojawapo wa viongozi wa ACT Wazalendo Rahma Mwita alizungumza suala hili kwenye kwenye XSpaces jana 26/6/2024 kuwa yupo tayari kujitolea muda wake kuambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kwenye vyombo vya habari na asasi mbalimbali za kiraia kupaza sauti kuhusu kupotea kwa kijana huyu.
Edgar anaishi Mbezi kwa Msuguli na amepatikana katika Hifadhi ya Katavi akiwa amepigwa sana, hali yake ikiwa si nzuri.
Kama kelele zisingepigwa huyu ndio ilikuwa ntolee, halafu kuna chawa wanaotetea ujinga kila siku.
Aisee, wakati wa kubadilika ni sasa, mtu akipotea wote tupige kelele, serikali ikienda kushoto wote tupige kelele. Isiwe kazi ya wanaharakati wachache au watetezi wa haki za binadamu, peke yao hawawezi. Tukiungana wote tunakuwa na nguvu.
Tuendeleze hashtag Wakuu, #KataaMachawa #KataaUozo2025, amsha kila utakayeweza kumuasha, tushikamane na kuteteana wakati wote kuleta uwajibikaji nchini.
Tangu mama yako afumaniwe basi unadhani kila mtu akipata matatizo anakuwa amefumaniwa.Mtu anayekosoa serikali hawezi kufumaniwa?
MKE WA MTU SUMU.Kumekucha tena
Yule jamaa kitendo cha kuumbwa na Makalio makubwa kinamtesa na kumsononesha sana, matokeo yake akifanya harakati zake za utekaje lazima aamuru wapambe wake wawalawiti wale wanaotekwa ndipo hujisikia unafuu fulani…kwa kifupi hali ya kuwa na matako makubwa imemfanya awe sadist.Hivi mwanaume unawezaje kusimamisha dushe kwa mwanaume mwenzako?
Mimi naamini hao wanaofanya michezo hiyo wameshafirika sana sasa wanalipiza kwa innocent people.
Yule mtu mkubwa huwenda alipigwa vibao tu, ila vijana machachali kama hawa ni sekunde kuwafanyia mchezo mchafu...Kwa kiasi fulani wamefanikiwa na hawawezi kusema walichofanywa. Si ajabu hata yule bosi sabuni wa simba walimnanii alivyopotea.
Aisee mda ni mwalim , naishia hapa , kama taifa tumechagua upande huu tutafika tu tunza hii, Mungu amjalie afya njemaWakuu Salama,
Sativa amekuwa akitafutwa toka weekend (Jumapili - 23/6/2024), baada ya ndugu zake kumtafuta bila mafanikio.
Watetezi wa haki za binadamu wamepiga kelele kuhusu hili hata mmojawapo wa viongozi wa ACT Wazalendo Rahma Mwita alizungumza suala hili kwenye kwenye XSpaces jana 26/6/2024 kuwa yupo tayari kujitolea muda wake kuambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kwenye vyombo vya habari na asasi mbalimbali za kiraia kupaza sauti kuhusu kupotea kwa kijana huyu.
Edgar anaishi Mbezi kwa Msuguli na amepatikana katika Hifadhi ya Katavi akiwa amepigwa sana, hali yake ikiwa si nzuri.
Kama kelele zisingepigwa huyu ndio ilikuwa ntolee, halafu kuna chawa wanaotetea ujinga kila siku.
Aisee, wakati wa kubadilika ni sasa, mtu akipotea wote tupige kelele, serikali ikienda kushoto wote tupige kelele. Isiwe kazi ya wanaharakati wachache au watetezi wa haki za binadamu, peke yao hawawezi. Tukiungana wote tunakuwa na nguvu.
Tuendeleze hashtag Wakuu, #KataaMachawa #KataaUozo2025, amsha kila utakayeweza kumuasha, tushikamane na kuteteana wakati wote kuleta uwajibikaji nchini.
Ndio wasiojulikana hawaMtekaji wake huyu hapa
We unaishi nchi gani? Hujui kuna hata waliouawa? Au ndo nyie machawa?kwani kukosoa lazima utekwe?
Huyo mwanaume anayeweza kufanya kitendo kama hicho ni mpumbavu wa kutupwa.Yule mtu mkubwa huwenda alipigwa vibao tu, ila vijana machachali kama hawa ni sekunde kuwafanyia mchezo mchafu...
Umejuaje na ilikuwaje?Mtekaji wake huyu hapa
Ukikitana na Mtanzania anaipinga CCM na serikali yake basi ujue huyo tayari yupo kwenye list ya mashoga watarajiwa.Kwa kiasi fulani wamefanikiwa na hawawezi kusema walichofanywa. Si ajabu hata yule bosi sabuni wa simba walimnanii alivyopotea.
Nafikili ni muhim amezaliwa wapi , ndugu zake wako wapi ,huyu pimbi na muonaga na mapicha mengi akiwa na waziri wa afya , sitaki mtuhum ila ni vyema jf intelligence fanya kazi sasa ,naishia hapa kwanzaMtekaji wake huyu hapa
Hata mie nimemjua kwa kutekwa , ila kama kutekana na kuumizwa ndo mpngo mzima kitaeleweka ,ujinga huualikosoa nini, sisi wengine ndio tunamjua leo.