Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Hivi vitu sio vya kufumbiwa macho. Watu waishi kwa kuchukuliana na pale wanapokosolewa wajitathimini. Tubishane kwa hoja.
 
Wakuu Salama,

Sativa amekuwa akitafutwa toka weekend (Jumapili - 23/6/2024), baada ya ndugu zake kumtafuta bila mafanikio.

Watetezi wa haki za binadamu wamepiga kelele kuhusu hili hata mmojawapo wa viongozi wa ACT Wazalendo Rahma Mwita alizungumza suala hili kwenye kwenye XSpaces jana 26/6/2024 kuwa yupo tayari kujitolea muda wake kuambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kwenye vyombo vya habari na asasi mbalimbali za kiraia kupaza sauti kuhusu kupotea kwa kijana huyu.

Edgar anaishi Mbezi kwa Msuguli na amepatikana katika Hifadhi ya Katavi akiwa amepigwa sana, hali yake ikiwa si nzuri.


Kama kelele zisingepigwa huyu ndio ilikuwa ntolee, halafu kuna chawa wanaotetea ujinga kila siku.

Aisee, wakati wa kubadilika ni sasa, mtu akipotea wote tupige kelele, serikali ikienda kushoto wote tupige kelele. Isiwe kazi ya wanaharakati wachache au watetezi wa haki za binadamu, peke yao hawawezi. Tukiungana wote tunakuwa na nguvu.

Tuendeleze hashtag Wakuu, #KataaMachawa #KataaUozo2025, amsha kila utakayeweza kumuasha, tushikamane na kuteteana wakati wote kuleta uwajibikaji nchini.
Hivi hawa wanamhoji na kuchukuwa video akili zao ziko kwenye makalio? Ama kweli binadamu tumageuka kuwa wanyama. Ni Tanzania pekee utakutana na uhayawani kama huu.
 
Hivi mwanaume unawezaje kusimamisha dushe kwa mwanaume mwenzako?

Mimi naamini hao wanaofanya michezo hiyo wameshafirika sana sasa wanalipiza kwa innocent people.
Yule jamaa kitendo cha kuumbwa na Makalio makubwa kinamtesa na kumsononesha sana, matokeo yake akifanya harakati zake za utekaje lazima aamuru wapambe wake wawalawiti wale wanaotekwa ndipo hujisikia unafuu fulani…kwa kifupi hali ya kuwa na matako makubwa imemfanya awe sadist.
Asichokijua yale makalio yake ndiyo brand yake na ndiyo siri ya mafanikio na bahati ya yeye kufika pale alipo.
 
Wakuu Salama,

Sativa amekuwa akitafutwa toka weekend (Jumapili - 23/6/2024), baada ya ndugu zake kumtafuta bila mafanikio.

Watetezi wa haki za binadamu wamepiga kelele kuhusu hili hata mmojawapo wa viongozi wa ACT Wazalendo Rahma Mwita alizungumza suala hili kwenye kwenye XSpaces jana 26/6/2024 kuwa yupo tayari kujitolea muda wake kuambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kwenye vyombo vya habari na asasi mbalimbali za kiraia kupaza sauti kuhusu kupotea kwa kijana huyu.

Edgar anaishi Mbezi kwa Msuguli na amepatikana katika Hifadhi ya Katavi akiwa amepigwa sana, hali yake ikiwa si nzuri.


Kama kelele zisingepigwa huyu ndio ilikuwa ntolee, halafu kuna chawa wanaotetea ujinga kila siku.

Aisee, wakati wa kubadilika ni sasa, mtu akipotea wote tupige kelele, serikali ikienda kushoto wote tupige kelele. Isiwe kazi ya wanaharakati wachache au watetezi wa haki za binadamu, peke yao hawawezi. Tukiungana wote tunakuwa na nguvu.

Tuendeleze hashtag Wakuu, #KataaMachawa #KataaUozo2025, amsha kila utakayeweza kumuasha, tushikamane na kuteteana wakati wote kuleta uwajibikaji nchini.
Aisee mda ni mwalim , naishia hapa , kama taifa tumechagua upande huu tutafika tu tunza hii, Mungu amjalie afya njema
 
Hakupaswa kuhojiwa kabisa kwa hayo malalamiko ya maumivu anayoyasema. kumhoji ni kuzidi kumchosha na kuchochea tatizo mwilini.
 
Mtekaji wake huyu hapa
 

Attachments

  • IMG_2832.jpeg
    IMG_2832.jpeg
    221.6 KB · Views: 1
Enzi za utekaji zilipita..
Mama ni mpenda haki
Mama anaupiga mwingi
Sasa tunapumua
Mama ni expansion joints

Mama ya nyoko
 
Kwa kiasi fulani wamefanikiwa na hawawezi kusema walichofanywa. Si ajabu hata yule bosi sabuni wa simba walimnanii alivyopotea.
Ukikitana na Mtanzania anaipinga CCM na serikali yake basi ujue huyo tayari yupo kwenye list ya mashoga watarajiwa.
Maana wameona hiyo ndiyo namna ya kuwatisha na kuwazima watu
 
Back
Top Bottom