Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Hii hauijui n kwa sababu enzi hizo Chadema walipewa kila wanachotaka na awamu ile ila ingekuwa n awamu ya JPM ambaye hakutaka upuuzi wao wangeongea mpaka watoto wako ambao hawajazaliwa wangejua
Wewe ndiye hujui lini Mwakyembe alinyofolewa meno ?
 
We ulevi wa dengerua haujakutoka narudia tena kuwa udhalimu alioasisi magu bado unaendelezwa na serikali ya chama chake au humsikiagi chura kiziwi kauli mbiu yake kuwa kazi iendelee?
Kwa kuwa awamu zilizopita kabla ya JPM kulikuwa hakuna haya mambo bc nakuunga mkono 😂
 
Umeiangalia hiya video mkuu?
 
Wewe ndiye hujui lini Mwakyembe alinyofolewa meno ?
Tulia ndugu, mm sio niliyesema mwakyembe ndio aliyenyofolewa meno najua mtoa mada amejichanga tuu mana ulimboka ndie aliyepewa hy dozi.

Ila bado inabaki pale pale, kuwa JPM hakuwa mbaya kiasi hicho nyie mnavotaka kuwaaminisha watu ila kwa kuwa hakutaka upuuzi wenu ndio mana sasa mnamponda mana awamu zingine mlikuwa mnaenda Ikulu kunywa chai na kupewa vibahasha.
 
Yeye ndiye alikuwa mpuuzi kwa kuamua kujibu hoja kwa risasi.
 
Kenya wanaongea kwa watakavyo lakini hamna mtu anakukamata. Sisi sasa tunajiona watakatifu saana.
 
Yeye ndiye alikuwa mpuuzi kwa kuamua kujibu hoja kwa risasi.
Ndio ilikuwa halali yenu mana mlishazoea kudekezwa kwenye awamu zilizopita, na mna bahati yule mume wenu alitakiwa kufundishwa adabu tuu na sio kuuawa.
 
Amechanganya mafaili huyo, anamaanisha Dr. Ulimboka. Mwakyembe alipigwa kitu cha polonium 210 ila hakikumkolea nafikri walimu-under dose.
Unaijua polonium vizuri? Ni sumu hatari vibaya sana lowest dosage inaweza ikaangamiza watu kibao hata huyo anayepewa aihandle inamdhuru vilevile
 
 
Huyu wangempeleka kwenye geti la pale ikulu,au bungeni kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…