Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Siku yake ilifika kama ambavyo siku za wengine zinavofika, yule aliyekalia kiti cha chama miaka yote ikifika siku yake cjui mtamsingizia nan amemuua
Yote kwa yote amebakia kuwa stori tu au muombeni Gwajiboy amfufue.
 
Machawa wamefikia huku?
Hawa hata sio Polisi waliofanya hivi. Ni genge la Machawa tu na mafisadi
 
Hivi mwanaume unawezaje kusimamisha dushe kwa mwanaume mwenzako?

Mimi naamini hao wanaofanya michezo hiyo wameshafirika sana sasa wanalipiza kwa innocent people.
Hao wahuni ipo siku yao . kidume kinapata hisia kwa mwanaume mwezie hata wanyama wameshindwa kufanya kitendo hicho .
 
Fyah fi a man wey se'dung inna
Babylon throne.
 
Watu wameajiriwa kwa ajili ya hy kazi afu ww unakuja kusema ety wameshafirika? Hao n wazima kabisa ila wanawafanyia hvy mana n kazi yao, sasa siku utekwe ndio utajua vzr
Ni machoko tu tena unakuta wanalipwa pesa ya kimbuzi.

Wale wanaokodiwa kuua unadhani hata wanalipwa hela nyingi?
Basi tu lakini Mungu yupo Tanzania huwa anatulipia Kisasi na tumeshaona sana
 
Binafsi ingelikuwa mimi ndio huyo jamaa....na nimepatikana nikiwa hai! Baada ya kujiuguza ningehakikisha napiga albadiri moja takatifu ..naua kila aliyehusika na kuniteka mmmmaaae
Labla tuanze kujiuliza hao wengine kabla yake hawana akili hiyo?
 
Pole kwa mwamba ...ila tunamuombea kwa Mungu wasije wakawa wamemvua ubingwa mshkaji. Bora upigwe ufe kuliko kufirwa ...dah
 
..lakini si wana-fi-ra wakosoaji wa Ccm?

..maana yake Ccm imeajiri wa-fi-raji.

..yaani hiki chama cha huyu tunayemuita MAMA ndani yake kuna genge la wa-fi-raji.

..basi sasa tuko kwenye 4R+ F [ i.r.a ].
Sijui 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…