Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Uzuri tunayolalamikia yanatuumiza wote bila kubagua, kwani kama ni maduka na masoko wote tunakwenda pamoja.
Uko sahihi ila nyie Chadema mkishakunywa chai hapo Ikulu akili zenu zinageuka, jana Roma mkatoliki amepost X kuwa watz waandamane kuna mtu akamjibu kuwa yeye aanze mbele lkn huyo huyo Roma akaanza chengachenga.
 
Sijui kama wanayo au hawana ila ukoo wetu sisi ugomvi huwa hauishi...unarithiwa vizazi kwa vizazi.
Hata mm n mfuasi wa kulipa kisasi, mtu akiamua kuwa mbaya usimfanye kuwa rafiki.
Labla hao wenzetu wanachofanyiwa wakiwa wametekwa inakuwa n next level kiasi kwamba hawawezi kulipa kisasi
 
Uko sahihi ila nyie Chadema mkishakunywa chai hapo Ikulu akili zenu zinageuka, jana Roma mkatoliki amepost X kuwa watz waandamane kuna mtu akamjibu kuwa yeye aanze mbele lkn huyo huyo Roma akaanza chengachenga.
Wewe una chuki tu na Chadema hata wangeongea jambo lenye manufaa kwako utawakemea tu kwa vile ni Chadema.
 
Wewe una chuki tu na Chadema hata wangeongea jambo lenye manufaa kwako utawakemea tu kwa vile ni Chadema.
Cjawahi kuwa mfuasi wa chama chcht cha siasa na sijawahi ht kupiga kura mana sijawahi kuona umuhimu wa hayo mambo mawili.
hata hao ccm wana upuuzi wao kama walivyo Chadema.
 
Dah, Huyu Mwana ameshawahi kunipa mkeka pale twitter na nikatusua, Mungu amsaidie awe sawa
 
Back
Top Bottom