Wakuu wangu habari za wakati huu..
Naombeni msaada wa haya madude. Hapa chini
Nataka niwe na kunywa chai ya star anise na nimeenda sokoni kununua star anise. Cha kushangaza wakati na peruzi peruzi kabla sijanywa nikakutana na hili tishio huku lisemalo star anise za kichina ndiyo salama kutumia lakini zile za japani siyo salama kuzitumia kwa kuingiza ndani ya mwili maana zina sumu na zinaweza kukupelekea kifo.
Nb..KABLA SIJASABABIAHA MAAFA WAKUU WANGU
Naombeni kujua kati ya hizi star anise tunazo uziwa huku masokoni ni hizi za kichina au za kijapani..
na je, ni bora na salama hizi za huku Tz tunazo uziwa kuzitumia kwa kuloweka na kunywa kama chai na kunywa?
Imeelezewa kwenye lugha za wenzetu hapa chini.
1:
Japanese star anise,
Illicium anisatum, with
common names Japanese star anise,
[1] Aniseed tree,
[1] and
sacred Anise tree,
[1] known in
Japanese as
shikimi (樒, シキミ), is an
evergreen shrub or small tree closely related to the
Chinese star anise (
Illicium verum). Since it is highly toxic, the fruit is not edible; instead, the dried and powdered leaves are burned as
incense in Japan. Its branches and evergreen leaves are considered highly sacred by Japanese
Buddhists[2] due to insects' aversion to them and their ability to remain fresh after
pruning
Symptoms associated with Japanese star anise toxicity include seizures, inflammation of the urinary and digestive tracts, and kidney problems. These symptoms typically manifest within six hours of ingestion and commonly begin with diarrhea and vomiting. Without seeking medical attention for these initial symptoms, respiratory system paralysis can ultimately lead to fatality.
2: chine
se star anise
Illicium verum is not toxic. However, other related species are toxic.
Illicium verum (
star anise or
badian,
Chinese star anise,
star anise seed,
star aniseed and
star of anise) is a medium-sized
evergreen tree native to
South China and northeast
Vietnam. Its star-shaped
pericarps harvested just before ripening is a
spice that closely resembles
anise in flavor. Its primary production country is China, followed by Vietnam and other Southeast Asian countries.
[2] Star anise oil is a highly fragrant oil used in cooking, perfumery, soaps, toothpastes, mouthwashes, and skin creams. Until 2012, when they switched to using
genetically modified E. coli,
Roche Pharmaceuticals used up to 90% of the world's annual star anise crop to produce
oseltamivir (Tamiflu) via
shikimic acid.
[3]
NB..NIPO HAPA MBELE YENU NAOMBENI KUJUA WAKUU. JE, HIZI ZA HUKU KWETU TUNAZO UZIWA MASOKONI ZINAFAA KUTUMIKA KWA KULOWEKA NA KUNYWA KAMA CHAI.. JE, SIYO ZA KIJAPANI ?