Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaah hapana tumeambiwa tufanye comparisons mamaaa... Miss Natafuta namkubali ana roho nene huyo mwingine utafikiri nimemuibia bwana lol......
Mpende akupendae asiekupenda tyupa kuleeeee.... Nampenda miss
Cc Smart911
PICHA VIPI TENA NA WEWE HUTAKI SHILAWADU...Don wory siku nyingine ambatanisha na picha kabisaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Miss chagga naomba muacheni tu manake yule ukimpambanisha ataangalia mwenye dau kubwa na mkwanja mrefuuu..mutoto wa mujini yule miss chagga pesa mbele kama tai
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]......ila wewe sitaki uchepuke my dear!Chepuka urudi Baba..
Unamaanisha Frog au Toad?Nani anachura?
Mpambano ungekuwa mkali balaa.Miss chagga naomba muacheni tu manake yule ukimpambanisha ataangalia mwenye dau kubwa na mkwanja mrefuuu..mutoto wa mujini yule miss chagga pesa mbele kama tai
Post sent using JamiiForums mobile app
Bila shaka ww ni mzaramowezere..wowowo..msambwanda..chura..kijungu..boneti..etc
Unaitafuta ban kwa miguu na mikono wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmoja anawashwa sana tena sanaaaa mwingine walaaaa hana hata nyege [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
It's my king's birthday Shougar mbona hujaja kumuwishi my beibe kwani unanichukia kiasi hiko!!?? Tehtehteh..Huyu EveChumvi??
Mbona ana mume humu boss fulani hivi
NAONA LEO UMEAMUA KULIPIZA KISASI[emoji23] [emoji23]Mmoja anawashwa sana tena sanaaaa mwingine walaaaa hana hata nyege [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
MSUKUMABila shaka ww ni mzaramo
Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu sijawahi kumfuata mtu pm hata mmoja huku ila na comment kutokana na threat zake mkuu that all men.Hakuna mzuri hapo wote wa kawaida tu.
Iwe kwa jina au kwa muonekano.
Wanaume wa JF mnapenda sana kuwakuza wanawake wa JF kana kwamba ni wazuri sana.
Ni binadamu tena wa kawaida sana.
Wa msibabaike mpaka kuwafuata pm
Na hayo majina mazuri yasiwatishe.
Kuweni na msimamo na mjiamini
Shobo acheeni.
Kama umemaindi lala tu...
Mmh wasukuma wana msamiati wa msambwanda maybe wale wa dar kama jpmMSUKUMA