Saturday battle: Everlyn Salt vs Miss Natafuta

Saturday battle: Everlyn Salt vs Miss Natafuta

Mimi sioni tatizo lingine,kujitafutia umaarufu mavi bure tu.Unataka kuongelewa,ukiongelewa unaona unaonewa!Unajitafutia kuonekana unaonewa wivu,unajifanya victim kuwa unafwatiliwa wakati what you do is making noise kila mahali kuwa upo!!Unataka kuwa bingwa wa kulisha watu ndimu wakt watu wenyewe wamevurugwa...shenzee!
Nlikua sijui kama anapenda kuongelewa....
Sasa sijui hata nimuongelee kipi au hiyo tait kama mfuko?
Eti wanawake hatupendani mfyuuuu nimpende nimemzaa?
 
Anaejiharishia niwewe bwegemtozeni wa kwanza

Halafu Mi punda wewe farasi vilevile usinipige mikwala nyang'au wewe hatupo mahakamani kusema kwamba ukimbilie screenshots..
Ungeendelea kutafuta umaarufu mavi kujifanya unasemwa unasemwa kwa kipi, kujishtukia vipi... Hata ukikuta mende wawili si utajihisi wanakusema?
Yani sijawahi hata kukufikiria ila hii attack nitaanza kukufikiria sasa kuwa kuna taahira namjua humu
 
Back
Top Bottom