Sauda Mwilima umejikoboa umekuwa mbayaaa

Hivi huyu mdada mbona hajipendi! Yaan anavaaga hovyo hovyo kwenye hicho kipindi chake, mi sijawahi kuona akapendeza.

Kuna siku alivaa black juu mpaka chini yaani alitisha. Kama kuna anayemjua jamani ampe ujumbe apendeze, havutii kabisa na wala kipindi chake ni hewa..
 

inakuhuu we unayependeza unajulikana tax bubu
 
Mapovu yamewatoka umelazimishwa kuchangiia kama umeona halina maana,mxuuueeee na bado mtanyooka tu ndo mkwambie
m ndio naoga napendeza na ndo maana anashauriwa apendezee avae vizuri kama mapresenter wengine,ambaye anaona linamgusa apite kimya
 
Wewe mwenyewe kiatu umekivaa ulipoenda form 1 utajua saa ngap! Anavaa mosurupweta mi jeans imetepweta utafikiri mbibi wa miaka 80, she is a tv presenter, siku hizi wanavalishwa what is wrong with star tv

faida ya kupendeza ni nini si pendeza mwenyewe acha husuda hizo chukua vyeti katafute kazi
 
Sauda hana damu/mwili ya/wa nguo....
Kuna wakati anavaa nguo nzuri sana lakini hapendezi
 
Sauda hana damu/mwili ya/wa nguo....
Kuna wakati anavaa nguo nzuri sana lakini hapendezi

Sijawahi kuliona hilo kwa huyu dada, hajui kuvaa kabisaaa, yupo yupo tu na mawanja yake sasa, ananichoshaga huyu dada jamani.
 
Mwilima uzuri autafutwi kwa kujikoboa umechemka umekua kama una ugonjwa wa mapunye kumbe umejikoboa
 

km zamaradi tu;kimwil kidgo miguo hyo kiko flat kifupiiii hata hakipendez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…