Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Mwili ni wake, maisha ni yake, ni mtu mzima mwenye kazi yake, sasa aamue kujimenya au kutojimenya hiyo inamhusu yeye na yeye pekee.
Wengine haituhusu hata kidogo.
Tujifunze kuwaacha watu waishi wapendavyo bila kuwahukumu.
siku hizi na wewe umeacha kuhukum watu cos kwa nijuavyo hako ndo katabia kako