Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Angefanya plastic surgery ya hyo nose basi
Usikosoe kazi ya muumba.kila mtu kaumbwa kwa sababu zake!we umepewa hiki umekosa kile,yule anacho kile we umekikosa!!kama unaona pua yake ndo mbaya kulko mbona kaolewa na wapo wenye pua nzuri hawajaolewa mpaka wamefikisha 40 years!! Sio vizuri nikiwe!!