Saudi Arabia: Mahujaji zaidi ya 500 wafariki wakati wa Hija huko Makka

bila shaka sio Muslim ndio maana wasema hivi ila nikupe mfano mfupi utaelewa kwanini wanaenda ktk kipindi hiko ulichosema...hivi mkuu we tangu uje duniani ushawahi kuiona siku ya kuzaliwa Yesu ikawa ni tofauti na tarehe 25 December???
Yesu hakuzaliwa hiyo tarehe mbona
 
Sad.. Utaskia wameenda peponi!peponi aliko Osama bin laden na yule makamu wa Rais wa Iran? Nasikia huko ni full ngono na wale dada zao 72 huku pembeni yupo Muddy anashuhudia shoo live.
 
Hivi kwa nini wasingetafuta utaratibu wa kuingia wachache. Coz wakiingia wengi lazima wakanyagane hiyo ni lazima why wanalundikana hivyo.
hakuna aliyekanyagwa, wamekufa kwa sababu ya ongezeko la joto kali
 
Hi ibada ya a HIJA iko natural sana...binadamu hawezi kutengeneza ibada yenye hisia kiwango hichi....kutoka kila pembe ya dunia
Sasa mbona wafiwa wanalalamika kwamba serikali iliwatelekeza wapendwa wao ndio maana wamekufa?!
 
Hicho ni kifo ambacho waumini watakipenda sana.

Ikiwa ni lazima ufe, na unaweza kufa popote, kwa muumini kufa wakati wa hajj ni kifo kizuri sana.

Yani katika historia yako unaonekana umefia katika Hajj Mecca huko.
Duh!...
 
Watu wengine wakifanya makosa wanakuja dealt with very leniently.
Sasa Hawa mahujaji walikufa kwa sababu gani?
Ninapozidurusu hizi habari naiona hii kama fake news.
 
Duh
"Wanaabudu wasichokijua"
Kwa Mungu asiyejulikana.....πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…