Saudi Arabia: Mahujaji zaidi ya 500 wafariki wakati wa Hija huko Makka

Saudi Arabia: Mahujaji zaidi ya 500 wafariki wakati wa Hija huko Makka

Ni mwaka gani ubalozi ulisaidia hayo?
Most of the time mahujaji huzikwa huko huko........tangu lini ubalozi ukahusika kuleta maiti nchini?
Singumzii mahujaji ni utaratibu wa balozi zetu. Hili nimeliona South Africa. Ubalozibunashiriki kurudisha maiti nyumbani. Kama waliohiji huzikwa huko good for our money
 
Singumzii mahujaji ni utaratibu wa balozi zetu. Hili nimeliona South Africa. Ubalozibunashiriki kurudisha maiti nyumbani. Kama waliohiji huzikwa huko good for our money
Hata huko south ni mara chache sana, shida ya wabongo wengi south hawana vibali wala passport. Wapo wapo tu, wakifa wanachangishana wenyewe kwa wenyewe wanarudisha maiti nyumbani.
 
Hujathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Mimi nakwambia Mungu huyo hayupo, defining characteristics zake zinatengeneza internal contradiction.

Ukikataa hilo, umekataa logic yote, na hata hapo napo bado hujathibitisha Mungu yupo.

In fact, umekataa hoja zote za kuwapo Mungu zinazotumia logic.

Can you even get that through your head?

Kuhusu mazishi.

Nimekuuliza mazishi yangu wewe yanakuhusu nini?

Yani mazishi yangu, wewe yanakuhusu nini? Kwa nini hata unataka kujua yatakuwaje? Ni kitu gani kinakufanya ujisikie kuwa una haki ya kujua mipango yangu ya mazishi yangu?

Hujanijibu.

You are not important enough to me for me to disclose that to you.

That is a private matter for me to know and you to obsess about fruitlessly.

It is also a logical non sequitur fallacy as far as my main point regarding God not existing.

You are really boring me with your personal obsession, it feels like you are trolling me personally because you have no point to defend your positions, that is so shallow.
What a load of bollocks!
Now I am trolling you ? Like Who the are you
This is public platform and if you are here, you will be subjected to any scrutiny, take it as too personal or whatever or
obssession with you for what, typical higgidy piggidiy fallacy
Religions to others is too personal and sensitive, just like your death rituals
who gave you the right to question other forums members the validity’s of their beliefs or god ? because it is public platform
So now you can’t test your medicine innit?
Turudi kwenye swali langu, sijakuuluza wala sijasema Mungu yupo au hayupo
Kwa kuwa haumini imani yeyeto, je ukifa, unajua au Una uwezo gani wa kutaka mazishi yako yaendeshwe bila kutumia imani za kidini?
 
What a load of bollocks!
Now I am trolling you ? Like Who the are you
This is public platform and if you are here, you will be subjected to any scrutiny, take it as too personal or whatever or
obssession with you for what, typical higgidy piggidiy fallacy
Religions to others is too personal and sensitive, just like your death rituals
who gave you the right to question other forums members the validity’s of their beliefs or god ? because it is public platform
So now you can’t test your medicine innit?
Turudi kwenye swali langu, sijakuuluza wala sijasema Mungu yupo au hayupo
Kwa kuwa haumini imani yeyeto, je ukifa, unajua au Una uwezo gani wa kutaka mazishi yako yaendeshwe bila kutumia imani za kidini?
I am questioning facts. If you say your religion is not factual I don't question you.

Do you even know the difference?

Kwa nini uko obsessed na maisha yangu?

Nitakavyoamua kuzikwa vyovyote vile, kwa nini unajiona una umuhimu wa kujulishwa hilo?

Kwa nini unajialika mwenyewe na kujipa umuhimu usionao kwenye mambo yangu binafsi?
 
Saudi Arabia saivi wanahesabu tu mapato 😡😡😡😡 Utaliii wa kishamba sana huu.
Hujui lolote,
Ibada ya hijja ni nguzo katika nguzo za kiislamu kwa mwenye uwezo, waislamu wanatekeleza nguzo katika Ibada na kuhusu vifo, kifo mwanadamu humpata mahali popote ata kama hujaenda popote,
Hakuna uhusiano wowote na unachokiongea.
Kwa sisi waislamu ni fakhari sana kama umauti utakukuta ukiwa ndani ya kutekeleza nguzo ya Ibada kama hii. Mungu ndio ameshawaandikia hivyo. mimi na wewe hatujui mwisho wetu.

Allah atuongoze katika hili. Amin.
 
Sad.. Utaskia wameenda peponi!
Wanaamini hivyo na ndio maana idadi ya vifo inapanda mwaka Hadi mwaka, mm nna wasiwasi wanajiua maksudi hawa sio bure mamlaka zianze kuwachunguza vizuri

Kama ukifia Mecca unaenda peponi basi. asilimia 99 ya raia wa Saudia kunusa pepo ni rahis mno
 
We tulia bhana hizi biashara watu wamekaa wakaweka mbinu namna ya kupata mapato.. ko tulia mungu hawezi kaa mahali pamoja mpaka ulipe nauli ndo umpate inashangaza...
Hujui lolote,
Ibada ya hijja ni nguzo katika nguzo za kiislamu kwa mwenye uwezo, waislamu wanatekeleza nguzo katika Ibada na kuhusu vifo, kifo mwanadamu humpata mahali popote ata kama hujaenda popote,
Hakuna uhusiano wowote na unachokiongea.
Kwa sisi waislamu ni fakhari sana kama umauti utakukuta ukiwa ndani ya kutekeleza nguzo ya Ibada kama hii. Mungu ndio ameshawaandikia hivyo. mimi na wewe hatujui mwisho wetu.

Allah atuongoze katika hili. Amin.
 
Nyie mkifukuliwa mitaro na mapadri sio ushamba!?
Mtaro hata wewe unao ni swala la kupata bwana tu ndo kitu unasubiri inashangaza Muslim mmekuwa mstari wa mbele sana kutangaza ushoga nyuma ya kigezo cha kujifanya mnaupiga vita kumbe nyie ndo mnautangaza ushoga kwenu imekuwa somo msikitini, mnautaja msibani,kwenye sherehe. Mpaka hapa hakuna mada inahusu ushoga ila umejitahidi mpaka umeiingiza haya endelea..
 
Hivi kwa nini wasingetafuta utaratibu wa kuingia wachache. Coz wakiingia wengi lazima wakanyagane hiyo ni lazima why wanalundikana hivyo.
Katika harakati za kumpiga mawe shetani lazima wakanyagane.
 
Hi ibada ya a HIJA iko natural sana...binadamu hawezi kutengeneza ibada yenye hisia kiwango hichi....kutoka kila pembe ya dunia
 
I am questioning facts. If you say your religion is not factual I don't question you.

Do you even know the difference?

Kwa nini uko obsessed na maisha yangu?

Nitakavyoamua kuzikwa vyovyote vile, kwa nini unajiona una umuhimu wa kujulishwa hilo?

Kwa nini unajialika mwenyewe na kujipa umuhimu usionao kwenye mambo yangu binafsi?
Rubbish
Naona umelazimisha ligi ya mungu yupo au hayupo
Kukujibu mungu yupo au hayupo ni kujialika kwenye maisha yangu binafsi, kwani una umuhimu gani mpaka utake nikuhakikishie mungu ninaemuamini ni kama yupo au hayupo.
 
Rubbish
Naona umelazimisha ligi ya mungu yupo au hayupo
Kukujibu mungu yupo au hayupo ni kujialika kwenye maisha yangu binafsi, kwani una umuhimu gani mpaka utake nikuhakikishie mungu ninaemuamini ni kama yupo au hayupo.
I will teach you how to rubbish someone, I will rubbish you even more.

Straight to ignore list.

From here I will no longer see any of your posts.
 
Mungu akiangalia mambo tunayofanya anashangaa tu ww Tangu lini Sehem ya kuomba msamaha iwe saudia jamani hivi hizi akili Mungu alitupa za kuvukia barabara.Mungu atusamehe sana
😁😁 Niliona. Clip moja mwijaku anapambana na kung'ang'ania ashike ukuta/jiwe lile leusi . Kumbe ndio anasamehewa hapo Zambi zake
 
Back
Top Bottom