kwa njia ya bomu tu sekunde tu huyoo kwa 72 ...kira.Kila nafsi itaonja mauti. Nafsi hizi zimekutana na umauti Ibadani, Je Yako itakutana na umauti mahala gani?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa njia ya bomu tu sekunde tu huyoo kwa 72 ...kira.Kila nafsi itaonja mauti. Nafsi hizi zimekutana na umauti Ibadani, Je Yako itakutana na umauti mahala gani?!
bila shaka sio Muslim ndio maana wasema hivi ila nikupe mfano mfupi utaelewa kwanini wanaenda ktk kipindi hiko ulichosema...hivi mkuu we tangu uje duniani ushawahi kuiona siku ya kuzaliwa Yesu ikawa ni tofauti na tarehe 25 December???Kuna haja gani ya kwenda ktk kipindi hiki Cha joto Kali. Mbona kipindi Cha korona kulikuwa na restrictions. Mwisho mtupe tabu za michango ya kurudisha miili.
kwamba bingwa wa mitusi sio vizuri kumtukana!Kukejeli dini za wengine ni kukosa ustaarabu! Kama unaamini dini yako ni bora kuliko yao, wavute kwenye hiyo yako kwa upendo bila kejeli.
MadnessTakriban Mahujaji 323 kutoka Misri wamekufa wakati wa Hijja ya Waislamu huko Mecca, Saudi Arabia, ambapo karibu wote walikufa kutokana na magonjwa yanayohusiana na joto, wanadiplomasia wawili wa Kiarabu waliiambia kwa AFP leo.
Vifo hivi vinafikisha idadi ya watu 577 iliyotangazwa na nchi tofauti, miili 550 imesafirishwa hadi katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Al-Muaisem.
=============
At least 550 pilgrims have died during the hajj, with this year's pilgrimage in Saudi Arabia again unfolding amid scorching temperatures.
At least 323 of those who died were Egyptians, most of them succumbing to heat-related illnesses, two Arab diplomats coordinating their countries' responses told AFP.
"All of them [the Egyptians] died because of heat" except for one who sustained fatal injuries during a minor crowd crush, one of the diplomats said, adding the total figure came from the hospital morgue in the Al-Muaisem neighbourhood of Mecca.
At least 60 Jordanians also died, the diplomats said, up from an official tally of 41 given earlier on Tuesday by Amman.
The new deaths bring the total reported so far by multiple countries to 577, according to an AFP tally.
The diplomats said the total at the morgue in Al-Muaisem, one of the biggest in Mecca, was 550.
The hajj is one of the five pillars of Islam and all Muslims with the means must complete it at least once.
The pilgrimage is increasingly affected by climate change, according to a Saudi study published last month which said temperatures in the area where rituals were performed were rising 0.4 degrees Celsius each decade.
Temperatures hit 51.8C at the Grand Mosque in Mecca on Monday, the Saudi national meteorology centre said.
Thousands treated for heat stress
Earlier on Tuesday, Egypt's foreign ministry said Cairo was collaborating with Saudi authorities on search operations for Egyptians who had gone missing during the pilgrimage.
While a ministry statement said "a certain number of deaths" had occurred, it did not specify whether Egyptians were among them.
Saudi authorities have reported treating more than 2,000 pilgrims suffering from heat stress but have not updated that figure since Sunday and have not provided information on fatalities.
At least 240 pilgrims were reported dead by various countries last year, most of them Indonesians.
AFP journalists in Mina, outside Mecca, on Monday saw pilgrims pouring bottles of water over their heads as volunteers handed out cold drinks and fast-melting chocolate ice cream to help them keep cool.
Saudi officials had advised pilgrims to use umbrellas, drink plenty of water and avoid exposure to the sun during the hottest hours of the day.
But many of the hajj rituals, including the prayers on Mount Arafat which took place on Saturday, involve being outdoors for hours in the daytime.
Some pilgrims described seeing motionless bodies on the roadside and ambulance services that appeared overwhelmed at times.
About 1.8 million pilgrims took part in the hajj this year, 1.6 million of them from abroad, according to Saudi authorities.
Situation made worse by unregistered pilgrims
Each year, tens of thousands of pilgrims attempt to perform the hajj through irregular channels because they cannot afford the often-costly procedures for official hajj visas.
This places these off-the-books pilgrims at risk as they cannot access air-conditioned facilities provided by Saudi authorities along the hajj route.
One of the diplomats who spoke to AFP on Tuesday said the Egyptian death toll was "absolutely" boosted by a large number of unregistered Egyptian pilgrims.
"Irregular pilgrims caused great chaos in the Egyptian pilgrims' camps, causing the collapse of services," an Egyptian official supervising the country's hajj mission said.
"The pilgrims went without food, water, or air conditioning for a long time."
They died "from the heat because most people had no place" to take shelter.
Earlier this month, Saudi officials said they had cleared hundreds of thousands of unregistered pilgrims from Mecca ahead of the hajj.
Other countries to report deaths during the hajj this year include Indonesia, Iran and Senegal.
Most countries have not specified how many deaths were heat-related.
Saudi Health Minister Fahd bin Abdul Rahman Al-Jalajel said on Tuesday that health plans for the hajj had "been successfully carried out", preventing major outbreaks of disease and other public health threats, the official Saudi Press Agency reported.
Health officials "provided virtual consultations to over 5,800 pilgrims, primarily for heat-related illnesses, enabling prompt intervention and mitigating the potential for a surge in cases," SPA said.
AFP
PIA, SOMA:
MATUKIO YANAYOFANANA:
- Saudi Arabia yawapiga pini mahujaji wa Iran
- Raia 14 wa Jordan waripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wakitekeleza Ibada ya Hija
Kwa hiyo ashakutana na wale 72 muda huu?Hairudi inazikwa hukohuko ukifa kwenye hijja ni peponi moja kwa moja...
Corona ?Hapo wamerahisisha tu ngoma ni CHANGAMOTO ZA UPUMUAJI. hivi mtu anatokaisri jangwani akafie meka kwa joto?
Ni vyote, unafikiri mtu akianguka na kuzimia kuna anayeona chini kuna nini? Wanakanyagana tu.Umesoma kilichowauwa hao watu wa peponi? Ni kukanyagana au joto?
Sio kesi ila wee uliyenijibu ndo unaleta kesi ungepita hiviii 👉👉👉
Ni mwaka gani ubalozi ulisaidia hayo?Mara balozi zetu hushiriki. Ubalozi ukitoa pesa kusafirisha mwili wa mtazania hawatoa pesa mfukoni mwao ni Kodi yangu na yako.
Lakini kukiwa na tatizo waumini wataambiwa watulie makwao hiyo 22 Decbila shaka sio Muslim ndio maana wasema hivi ila nikupe mfano mfupi utaelewa kwanini wanaenda ktk kipindi hiko ulichosema...hivi mkuu we tangu uje duniani ushawahi kuiona siku ya kuzaliwa Yesu ikawa ni tofauti na tarehe 25 December???
Kubali hauna maamuzi kwenye hiliLabda wewe ndiye hujanielewa mimi.
Nikifa mimi na nitakavyozikwa wewe inakuhusu nini?
DuhHicho ni kifo ambacho waumini watakipenda sana.
Ikiwa ni lazima ufe, na unaweza kufa popote, kwa muumini kufa wakati wa hajj ni kifo kizuri sana.
Yani katika historia yako unaonekana umefia katika Hajj Mecca huko.
Babu wa Loliondo alifanikiwa ila mwendelezo hamnaHivi sisi Tanzania hatuwezi nasisi kubuni kitu kitakachofanya maelfu ya watu wawe wanakuja kuhiji hapa kwetu tupige hela ndefu..?
Wamekufa kwa kiu.Inakuwaje wakanyagane, Kuna kitu huwa wanagombea?! Kila mwaka ...?!
Kupitia huu utalii Saudi huingiza pesa huku watalii wakipoteza maisha.Takriban Mahujaji 323 kutoka Misri wamekufa wakati wa Hijja ya Waislamu huko Mecca, Saudi Arabia, ambapo karibu wote walikufa kutokana na magonjwa yanayohusiana na joto, wanadiplomasia wawili wa Kiarabu waliiambia kwa AFP leo.
Vifo hivi vinafikisha idadi ya watu 577 iliyotangazwa na nchi tofauti, miili 550 imesafirishwa hadi katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Al-Muaisem.
=============
At least 550 pilgrims have died during the hajj, with this year's pilgrimage in Saudi Arabia again unfolding amid scorching temperatures.
At least 323 of those who died were Egyptians, most of them succumbing to heat-related illnesses, two Arab diplomats coordinating their countries' responses told AFP.
"All of them [the Egyptians] died because of heat" except for one who sustained fatal injuries during a minor crowd crush, one of the diplomats said, adding the total figure came from the hospital morgue in the Al-Muaisem neighbourhood of Mecca.
At least 60 Jordanians also died, the diplomats said, up from an official tally of 41 given earlier on Tuesday by Amman.
The new deaths bring the total reported so far by multiple countries to 577, according to an AFP tally.
The diplomats said the total at the morgue in Al-Muaisem, one of the biggest in Mecca, was 550.
The hajj is one of the five pillars of Islam and all Muslims with the means must complete it at least once.
The pilgrimage is increasingly affected by climate change, according to a Saudi study published last month which said temperatures in the area where rituals were performed were rising 0.4 degrees Celsius each decade.
Temperatures hit 51.8C at the Grand Mosque in Mecca on Monday, the Saudi national meteorology centre said.
Thousands treated for heat stress
Earlier on Tuesday, Egypt's foreign ministry said Cairo was collaborating with Saudi authorities on search operations for Egyptians who had gone missing during the pilgrimage.
While a ministry statement said "a certain number of deaths" had occurred, it did not specify whether Egyptians were among them.
Saudi authorities have reported treating more than 2,000 pilgrims suffering from heat stress but have not updated that figure since Sunday and have not provided information on fatalities.
At least 240 pilgrims were reported dead by various countries last year, most of them Indonesians.
AFP journalists in Mina, outside Mecca, on Monday saw pilgrims pouring bottles of water over their heads as volunteers handed out cold drinks and fast-melting chocolate ice cream to help them keep cool.
Saudi officials had advised pilgrims to use umbrellas, drink plenty of water and avoid exposure to the sun during the hottest hours of the day.
But many of the hajj rituals, including the prayers on Mount Arafat which took place on Saturday, involve being outdoors for hours in the daytime.
Some pilgrims described seeing motionless bodies on the roadside and ambulance services that appeared overwhelmed at times.
About 1.8 million pilgrims took part in the hajj this year, 1.6 million of them from abroad, according to Saudi authorities.
Situation made worse by unregistered pilgrims
Each year, tens of thousands of pilgrims attempt to perform the hajj through irregular channels because they cannot afford the often-costly procedures for official hajj visas.
This places these off-the-books pilgrims at risk as they cannot access air-conditioned facilities provided by Saudi authorities along the hajj route.
One of the diplomats who spoke to AFP on Tuesday said the Egyptian death toll was "absolutely" boosted by a large number of unregistered Egyptian pilgrims.
"Irregular pilgrims caused great chaos in the Egyptian pilgrims' camps, causing the collapse of services," an Egyptian official supervising the country's hajj mission said.
"The pilgrims went without food, water, or air conditioning for a long time."
They died "from the heat because most people had no place" to take shelter.
Earlier this month, Saudi officials said they had cleared hundreds of thousands of unregistered pilgrims from Mecca ahead of the hajj.
Other countries to report deaths during the hajj this year include Indonesia, Iran and Senegal.
Most countries have not specified how many deaths were heat-related.
Saudi Health Minister Fahd bin Abdul Rahman Al-Jalajel said on Tuesday that health plans for the hajj had "been successfully carried out", preventing major outbreaks of disease and other public health threats, the official Saudi Press Agency reported.
Health officials "provided virtual consultations to over 5,800 pilgrims, primarily for heat-related illnesses, enabling prompt intervention and mitigating the potential for a surge in cases," SPA said.
AFP
PIA, SOMA:
MATUKIO YANAYOFANANA:
- Saudi Arabia yawapiga pini mahujaji wa Iran
- Raia 14 wa Jordan waripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wakitekeleza Ibada ya Hija
Umemalizq mjadala.Huu ndio ukweli.Kila nafsi itaonja mauti. Nafsi hizi zimekutana na umauti Ibadani, Je Yako itakutana na umauti mahala gani?!
Mapato ni dunia nzima.Ni toka pale anayekwenda hija,akitoka nnchini kwao,analipia usafiri wa kuanzia anakoishi,mji atakaopanda ndege,hotel atakayolala,chakula atakachokula,usafiri atakaotumia,mavazi atakayovyaa,tiketi ya ndege atakayokata,wakala wa tiketi ya ndege,wote hao wanapata faida na serekali ya nchi yake inapata kodi kupitia hujaji huyu na wenzake kama yeye.Huu ni uchumi wa dunis nzima.Kupitia huu utalii Saudi huingiza pesa huku watalii wakipoteza maisha.