Saudi Arabia, Oman na nchi nyingine Eid kesho Mwezi wa Shawwal ulishaonekana

Saudi Arabia, Oman na nchi nyingine Eid kesho Mwezi wa Shawwal ulishaonekana

IMG_6672.jpg

[emoji26]
 
Inamaana waarabu wakisema eid mwezi ujao wamatumbi itabidi watii sheria😂😂 vya kuetewa havina misimamo.
 


Kada Abubakar Zuberi na tawi lake la CCM (BAKWATA) kama kawaida watatufungisha siku ya Eid.
Kada mkuu wa BAKWATA keshafanya yake. Sijui anapata faida gani huyu mzee.
 
Inamaana waarabu wakisema eid mwezi ujao wamatumbi itabidi watii sheria[emoji23][emoji23] vya kuetewa havina misimamo.
Hoja zipo mbili;
1.mwezi wa kitaifa ni mwezi unaoonekana ndani ya tz.
2.mwezi wa kimataifa ni mwezi unaoonekana popote ktk dunia.
Bakwata wanafuata hoja namba 1,
Na wengine wanafuata namba 2 kwa kigezo dunia ni moja na uislam ni dini moja na umma mmoja.
Bakwata
 


Kada Abubakar Zuberi na tawi lake la CCM (BAKWATA) kama kawaida watatufungisha siku ya Eid.
 
Back
Top Bottom