Saudi Arabia yanunua tani maradufu za mafuta Urusi. Je, ushawishi wa USA na EU umepungua duniani?

Saudi Arabia yanunua tani maradufu za mafuta Urusi. Je, ushawishi wa USA na EU umepungua duniani?

Ni America ndiye ananunua wese lote hilo, the bright US do that.
Kuna mchezo fulani wa ki-Russia unaitwa chess, ni wa kutumia akili sana na huwa hauhitaji papara wala haraka ya kumaliza..mnaweza mkacheza hata siku mbili. Muhimu ushindi.

Ngoja tuone hiyo 'brightness' ya huyo mu-amerika.
Anapambana na mtu mwenye akili nyingi na taasisi imara, sio Ghadaff huyu ujue..!!
 
Very likely kuna Mkono wa Marekani kwenye hili Saga..

Kwa jinsi Mataifa Jirani yake walivyo na bifu naye, Saudia lazima awe Loyal sana kwa USA, na hawezi kufanya hii move bila baraka zake..

Na huenda wamemwelekeza kabisa aiponde USA ili ionekane hawako pamoja..
Mwarabu haaminiki
 
Hebu pata picha wote tunauza bidhaa sawa ila mmoja wetu amekumbwa na mtikisiko wa kiuchumi na anauza zile bidhaa zake kwa bei ya chini kabisa ambayo wewe ukinunua na kuuza unapata margin kubwa sana, hivi utaacha?

Usishangae na US kajibanza hapo anaonekana Msaudi ndio ananunua kumbe nyuma yake wapo wadosi,watu wa mpira wanaita No looking pass macho yanaangalia kulia pass imepigwa kushoto.

Africa ndo tumelala tunashindwa kuongea hata na egypt akanunua mengi afu tukanunulia kwake?? Pale ni karibu sana na Russia.
 
Yaani ushawishi wa US imeshuka sana inabidi arudi kwenye drawing board. Halafu inasemeka Crown Prince hamkubali Biden kabisa
[emoji16][emoji16][emoji16] mpaka Biden kanyanyuka na kwenda Kwa salmin usifanye masihara ame minywa pabaya , nakumbuka mwaka 2018 wakati Russia ana host World final niliwaona Putin na salmin wakiwa wamekaa pamoja in private room walikuwa wako in touch sana of course Wana chemistry nzuri ya kibiashara baina ya mataifa Yao Kwa Sasa
 
Hilo changa la macho ,US ananunua kupitia mgongo wa saud maana mafuta ya Russia yamekua bei chee that because of low demand anayefaidika ni US hapo kazi kwenu ,juz biden alikua saud kuhakikisha mambo yanaenda sawa
[emoji16][emoji16][emoji16] Sasa hicho si- nikichaaa sisi kama Russia tunachotaka nikiuza mafuta tu kama ana nunua us kwetu ni ushindi mkubwa sana Kwa sababu alijifanya kuipiga ban biashara yetu mean while kumbe Bado anauhitaji nayo , ndio vizuri kwanza bidhaa ya Russia ndio inazidi kuwa hot cake
 
Kuna mchezo fulani wa ki-Russia unaitwa chess, ni wa kutumia akili sana na huwa hauhitaji papara wala haraka ya kumaliza..mnaweza mkacheza hata siku mbili. Muhimu ushindi.

Ngoja tuone hiyo 'brightness' ya huyo mu-amerika.
Anapambana na mtu mwenye akili nyingi na taasisi imara, sio Ghadaff huyu ujue..!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Watu kumbe walisha mtumia mpaka Bojo kuwa jasusi wao chini ya KGB halafu Wana wachukulia poa .. like seriously!! [emoji28]
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Sasa hicho si- nikichaaa sisi kama Russia tunachotaka nikiuza mafuta tu kama ana nunua us kwetu ni ushindi mkubwa sana Kwa sababu alijifanya kuipiga ban biashara yetu mean while kumbe Bado anauhitaji nayo , ndio vizuri kwanza bidhaa ya Russia ndio inazidi kuwa hot cake
Mkuu ndio maana tunaambiwa ukiona wakubwa wanagombana kaa kimya maana si ajabu biden wanawasilianaga na Putin sis hatujui
 
Hilo changa la macho ,US ananunua kupitia mgongo wa saud maana mafuta ya Russia yamekua bei chee that because of low demand anayefaidika ni US hapo kazi kwenu ,juz biden alikua saud kuhakikisha mambo yanaenda sawa
Watu mnawaonaga kama USA ndio watu wenye akili kuliko wote duniani,kumbe sio kweli.
 
Sasa ulaya inatumia mafuta ya urusi kwa bei bwelele, Russia hana namna, bila kuuza mafuta kwa bei sawa na maji ya mwauwasa njaa inawaua.
 
Huyu mwana mfalme nichalii flani hivi matata hapendi ujinga wa kupelekeshwa yeye kahamia BRICS, nini maana yake? Ina maana silaha za US ambazo anazo Russia atazipata na kuzifanyia utafiti
Umeongea point.
Ila nikuhakikishie Urusi Hana muda wa kuifanyia revert engineering silaha za USA,isipokua USA ndio ana shida na silaha za Urusi.
 
Back
Top Bottom