mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Sasa ulaya inatumia mafuta ya urusi kwa bei bwelele, Russia hana namna, bila kuuza mafuta kwa bei sawa na maji ya mwauwasa njaa inawaua.
Inawezekana but national interest muhimu kwanza even Wana wasiliana but at end of the day Kila mtu lazima avutie kama kwakeMkuu ndio maana tunaambiwa ukiona wakubwa wanagombana kaa kimya maana si ajabu biden wanawasilianaga na Putin sis hatujui
Kabla ya OP pipa lilikua lauzwaje nasasa lauzwaje!!!??Sasa ulaya inatumia mafuta ya urusi kwa bei bwelele, Russia hana namna, bila kuuza mafuta kwa bei sawa na maji ya mwauwasa njaa inawaua.
Akikujibu naomba nitag? Yaani watu wamekuwa kama mazuzu hivii..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kabla ya OP pipa lilikua lauzwaje nasasa lauzwaje!!!??
RUSSIA TAIFA TEULE
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi upata taabu sana kuwaelewa ma Yankee, sijui uchukulia kwamba watu wa mataifa mengine hawana akili??Jana nimeona habari kuwa marekani anawaomba Urusi warudishe space ya anga ya pamoja
Natamani hii comment imufikie January Makamba. Sijui think tank yetu ikoje! Wakati tunalia lia kuwa mafuta yanepanda na kuongeza mfumuko wa bei, badala yake tulipaswa kutumia fursa hii adhimu kwa kununua mafuta ya Chee Kutoka RussiaKwa nini sisi hatununui haya mafuta ya bure kutoka Urusi hata kupitia mgongo wa India & China
Hahahaha as long as anayanunua kwa Rubble haina shida.Na anaeumia ni nani hapo!?
Russia shida yake mafuta yanunuliwe kwa ruble na ndicho brics wanachofanya. Kisha mafuta hayo hayo Saudi Arabia anamuuzia Mmarekani kwa bei juu 😂😂😂 sasa nani ni mwehu hapo?Sasa ulaya inatumia mafuta ya urusi kwa bei bwelele, Russia hana namna, bila kuuza mafuta kwa bei sawa na maji ya mwauwasa njaa inawaua.
Wajinga ni wengi...Watu wamekuwa brainwashed yani wanaona akitoka Mungu the next of kin ni USA.Watu mnawaonaga kama USA ndio watu wenye akili kuliko wote duniani,kumbe sio kweli.
Ndio ushangae ila billion za kulipana maposho ya semina na safari zipo. Hela za kufanyia mambo ya msingi hamna.Kwa nini sisi hatununui haya mafuta ya bure kutoka Urusi hata kupitia mgongo wa India & China
Sasa gharama za miundo mbinu mipya kusafirisha hayo mafuta tena toka Saud Arabia hadi USA ni za kitoto kuliko angekuwa anayachukulia RUSSIA 1 kwa 1?Hebu pata picha wote tunauza bidhaa sawa ila mmoja wetu amekumbwa na mtikisiko wa kiuchumi na anauza zile bidhaa zake kwa bei ya chini kabisa ambayo wewe ukinunua na kuuza unapata margin kubwa sana, hivi utaacha?
Usishangae na US kajibanza hapo anaonekana Msaudi ndio ananunua kumbe nyuma yake wapo wadosi,watu wa mpira wanaita No looking pass macho yanaangalia kulia pass imepigwa kushoto.
[emoji16][emoji16][emoji16] Sasa hicho si- nikichaaa sisi kama Russia tunachotaka nikiuza mafuta tu kama ana nunua us kwetu ni ushindi mkubwa sana Kwa sababu alijifanya kuipiga ban biashara yetu mean while kumbe Bado anauhitaji nayo , ndio vizuri kwanza bidhaa ya Russia ndio inazidi kuwa hot cake
Mafuta yamepanda sana Kwa hiyo Putin kashusha kidogo tu lakini juu ya bei kabla ya vikwazo,hesabu zinaonesha mauzo yamepungua kidogobila faida imepanda.Hebu pata picha wote tunauza bidhaa sawa ila mmoja wetu amekumbwa na mtikisiko wa kiuchumi na anauza zile bidhaa zake kwa bei ya chini kabisa ambayo wewe ukinunua na kuuza unapata margin kubwa sana, hivi utaacha?
Usishangae na US kajibanza hapo anaonekana Msaudi ndio ananunua kumbe nyuma yake wapo wadosi,watu wa mpira wanaita No looking pass macho yanaangalia kulia pass imepigwa kushoto.
Gaddafi bhana alizingua but rip Mzee wetu ,walimvuta karibu mpk akaamini western washakuwa rafiki zake mpk misaada akawa anampa rais wa ufaransa kamdhamini mpk uchaguzi kumbe wanamchola tu walivyomgeuka hakuamini anampigia simu rais wa ufaransa hapokei jamaa alikuwa na intelligence dhaifu sana alitkiwa kuwa karibu na Russians baada kujua western wanamuwinda km mwenzake Iran kakimbilia RussiaKuna mchezo fulani wa ki-Russia unaitwa chess, ni wa kutumia akili sana na huwa hauhitaji papara wala haraka ya kumaliza..mnaweza mkacheza hata siku mbili. Muhimu ushindi.
Ngoja tuone hiyo 'brightness' ya huyo mu-amerika.
Anapambana na mtu mwenye akili nyingi na taasisi imara, sio Ghadaff huyu ujue..!!
Russians hawajui Hila yy wa chanika anajuaHuku Russia akiwa hajui !? [emoji16][emoji16][emoji16]
Ila Wabongo mna mambo [emoji16]
Wanadhani RUSSIA ni ZIMBABWEAkikujibu naomba nitag? Yaani watu wamekuwa kama mazuzu hivii..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Western ni wahuni tu wale hawana utu wala urafiki.Gaddafi bhana alizingua but rip Mzee wetu ,walimvuta karibu mpk akaamini western washakuwa rafiki zake mpk misaada akawa anampa rais wa ufaransa kamdhamini mpk uchaguzi kumbe wanamchola tu walivyomgeuka hakuamini anampigia simu rais wa ufaransa hapokei jamaa alikuwa na intelligence dhaifu sana alitkiwa kuwa karibu na Russians baada kujua western wanamuwinda km mwenzake Iran kakimbilia Russia
USA ni Mzee wa logistics muhimu bidhaa iwepo hahah!Sasa gharama za miundo mbinu mipya kusafirisha hayo mafuta tena toka Saud Arabia hadi USA ni za kitoto kuliko angekuwa anayachukulia RUSSIA 1 kwa 1?
Au pia USA alishapenyeza bomba la 1 kwa 1 kunyonya mafuta toka huko Saud Arabia hadi USA kama ilivyo kwa Qatar?
Kama ni US ndio ananunua unadhani nani anaathirika maana lengo la Russia ni kuuza mafuta regardless anauziwa nani, hao US wao wenyewe ndio walioweka sanctions sasa kama wanazunguka na kununua kupitia Saudia basi US ni wehu.Ni America ndiye ananunua wese lote hilo, the bright US do that.