kiuchumi hapa Russia anapigwa za uso.
kwa nini?
sikia
saudia ni nchi inayozalisha mafuta kwa wingi Duniani
na ndie anaetarajiwa kuwa mrithi wa Russia kwa Ulaya.
ananunua mafuta rusia kwa sababu kuna Dezo kubwa sana kiasi kwamba gharama za uendeshaji wa visima vya mafuta na faida ya mauzo ya mafuta hayo. haifikii bwelelee (Dezo) watakayo ipata kwa kununua toka Rusia.
Rusia anauza bei ya chini zaid sababu ya vikwazo maana hata wanao nunua mafuta ya Bwelelee ya Rusia wanahangaika jinsi ya kumlipa maana bwana mdogo hana Swift.
Rusia anauza Dezo maaana gharama za kuendesha uchumi wa mafuta unamtupa mkono.
Andunje asaidiwe mlango wa kutokea Asee.