Saudi Arabia yaruhusu ndege za Israel kupita juu ya anga lake

Saudi Arabia yaruhusu ndege za Israel kupita juu ya anga lake

Akili za Waarabu wanazijua wenyewe - yaani hata hawajui kwamba wemeingizwa mkenge na Pompeo, Natenyahu na Trump lengo likiwa ni kuipatia Israel airbases ambazo zipo karibu na Iran ili mwisho wa siku zitumiwe na Israel/USA fighters and Bombers kuishambuliani Iran - yaani Saudi Arabia na Qatar zitajikuta zinaingizwa kwenye vita na Iran bila ya kutegemea - ninacho kiona mimi Saudi Arabia itachajazwa vilivyo na ballistic missiles za Iran, viwanda vya Saudia vya Petrochemicals Complex ndio vita shambuliwa kwanza, Qatar vile vile itashambuliwa na kupata hasara.
 
Back
Top Bottom